Mario Kejob
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 441
- 536
Doing the same thing over and over again and expect different results is what is happening now in Dar es Salaam.
Hii quagmire imekuwa ikijirudia miaka nenda miaka rudi na msimu wa ukiisha tu viongozi hurudi usingizini na kiamini kuwa suala hili limekwisha. Jitihada zinazofanyika sasa hivi za kuujenga mto Ng'ombe ni commendable but it has come way too late.
Mvua ya dakika kumi tu can put the city at standstill kutokana na non-existence ya water drainage system or flood control mechanism.
Wakati tunajenga flyovers mbalimbali ili kupunguza traffic jams, tusisahau kuwa jams zinazo sababishwa na mafuriko haya ni kali zaidi na kusababisha madhara makubwa kwa jamii.
Chonde chonde wahusika, tatizo hili ni long overdue na jitihada za pekee inabidi zifanywe kulimaliza.
Eyes on the ball, please.
Hii quagmire imekuwa ikijirudia miaka nenda miaka rudi na msimu wa ukiisha tu viongozi hurudi usingizini na kiamini kuwa suala hili limekwisha. Jitihada zinazofanyika sasa hivi za kuujenga mto Ng'ombe ni commendable but it has come way too late.
Mvua ya dakika kumi tu can put the city at standstill kutokana na non-existence ya water drainage system or flood control mechanism.
Wakati tunajenga flyovers mbalimbali ili kupunguza traffic jams, tusisahau kuwa jams zinazo sababishwa na mafuriko haya ni kali zaidi na kusababisha madhara makubwa kwa jamii.
Chonde chonde wahusika, tatizo hili ni long overdue na jitihada za pekee inabidi zifanywe kulimaliza.
Eyes on the ball, please.