House4Sale ingia hapa ujipatie nyumba ipo MIKWAMBE

Kuwa tu karibu na huyo kidudu mtu cwezi kununua hata uniroge
Sawa mkuu lkn ni plot tu sio kwamba anaishi apo, na nimeaikia anaiuza mil 90 maana injinia wake alifeli
 
Habari.

Nyumba inapatikana Mikwambe DSM, karibu na site ya mh. Ndugai (kitu maarufu).
Eneo limepimwa na ina hati tayari. ina eneo la skwea mita 801,
Nyumba ina vyumba viwili na master bed, sebule, dining na store.
3fceeaa81454dc5ba69e50e0be1513c0.jpg

ac62e0351f2a9ed6dd14c431ae20ffbb.jpg

25d35fe90b4f8dc6a3ff5b78d28eb01a.jpg

86419cf608b7a6b6f2ab2faf1aa6b824.jpg

aa9d05956abd02a4f6fb0178b8c9fddd.jpg


Wiring ndani tayari, umeme pia upo jirani na nyumba
99bbaf0b49814145d43475d4b13604b3.jpg


Bei ni 70M (milioni sabini)

Kwa mawasiliano check na namba ‭0711 352 361‬

Asante.
Kwa mfano ungeimalizia ingecost kiasi gani juu ya hio 70m?
 
Habari.

Nyumba inapatikana Mikwambe DSM, karibu na site ya mh. Ndugai (kitu maarufu).
Eneo limepimwa na ina hati tayari. ina eneo la skwea mita 801,
Nyumba ina vyumba viwili na master bed, sebule, dining na store.
3fceeaa81454dc5ba69e50e0be1513c0.jpg

ac62e0351f2a9ed6dd14c431ae20ffbb.jpg

25d35fe90b4f8dc6a3ff5b78d28eb01a.jpg

86419cf608b7a6b6f2ab2faf1aa6b824.jpg

aa9d05956abd02a4f6fb0178b8c9fddd.jpg


Wiring ndani tayari, umeme pia upo jirani na nyumba
99bbaf0b49814145d43475d4b13604b3.jpg


Bei ni 70M (milioni sabini)

Kwa mawasiliano check na namba ‭0711 352 361‬

Asante.
Mikwambe ni WAPI ? Fafanua zaidi address kwa kutaja maeneo yanayojulikana zaidi kama chanika , tegeta , kigamboni, kimara suka , goba , ??? Sijawahi sikia "Mikwambe"
 
Habari.

Nyumba inapatikana Mikwambe DSM, karibu na site ya mh. Ndugai (kitu maarufu).
Eneo limepimwa na ina hati tayari. ina eneo la skwea mita 801,
Nyumba ina vyumba viwili na master bed, sebule, dining na store.
3fceeaa81454dc5ba69e50e0be1513c0.jpg

ac62e0351f2a9ed6dd14c431ae20ffbb.jpg

25d35fe90b4f8dc6a3ff5b78d28eb01a.jpg

86419cf608b7a6b6f2ab2faf1aa6b824.jpg

aa9d05956abd02a4f6fb0178b8c9fddd.jpg


Wiring ndani tayari, umeme pia upo jirani na nyumba
99bbaf0b49814145d43475d4b13604b3.jpg


Bei ni 70M (milioni sabini)

Kwa mawasiliano check na namba ‭0711 352 361‬

Asante.
Sawa, lakini unajua kwamba kwahivi sasa Milioni 70 inatosheleza kupata Nyumba Iliokamilika? hapo kinachokubeba ni eneo kilipo kiwanja, na sio hio nyumba. Milioni 45 inaweza kua bei sahihi.
 
Sawa, lakini unajua kwamba kwahivi sasa Milioni 70 inatosheleza kupata Nyumba Iliokamilika? hapo kinachokubeba ni eneo kilipo kiwanja, na sio hio nyumba. Milioni 45 inaweza kua bei sahihi.

Ni eneo ndio mkuu, nyumba iliyokamilika yenye sifa hizo!?

Lakini kama upo interested tuwasiliane biashara ni maelewano
 
Mikwambe ni WAPI ? Fafanua zaidi address kwa kutaja maeneo yanayojulikana zaidi kama chanika , tegeta , kigamboni, kimara suka , goba , ??? Sijawahi sikia "Mikwambe"

Ipo kigamboni mkuu, ukifika feri una panda gari za kuelekea t/ngoma utashuka kituo kinaitwa chekechea.

Bila shaka umepapata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom