Muuzaji aana njaa sana au nyumba ya urithiSawa mkuu lkn ni plot tu sio kwamba anaishi apo, na nimeaikia anaiuza mil 90 maana injinia wake alifeli
Kwa mfano ungeimalizia ingecost kiasi gani juu ya hio 70m?Habari.
Nyumba inapatikana Mikwambe DSM, karibu na site ya mh. Ndugai (kitu maarufu).
Eneo limepimwa na ina hati tayari. ina eneo la skwea mita 801,
Nyumba ina vyumba viwili na master bed, sebule, dining na store.
Wiring ndani tayari, umeme pia upo jirani na nyumba
Bei ni 70M (milioni sabini)
Kwa mawasiliano check na namba 0711 352 361
Asante.
inavyoonekana iko kwenye road reserveMkuu value ya nyumba huwa inategemea na eneo husika.
Lakini kwa gharama halisi aliyotumia kujenga ni nusu ya bei aliyotangaza kuiuzia.
Mikwambe ni WAPI ? Fafanua zaidi address kwa kutaja maeneo yanayojulikana zaidi kama chanika , tegeta , kigamboni, kimara suka , goba , ??? Sijawahi sikia "Mikwambe"Habari.
Nyumba inapatikana Mikwambe DSM, karibu na site ya mh. Ndugai (kitu maarufu).
Eneo limepimwa na ina hati tayari. ina eneo la skwea mita 801,
Nyumba ina vyumba viwili na master bed, sebule, dining na store.
Wiring ndani tayari, umeme pia upo jirani na nyumba
Bei ni 70M (milioni sabini)
Kwa mawasiliano check na namba 0711 352 361
Asante.
Sawa, lakini unajua kwamba kwahivi sasa Milioni 70 inatosheleza kupata Nyumba Iliokamilika? hapo kinachokubeba ni eneo kilipo kiwanja, na sio hio nyumba. Milioni 45 inaweza kua bei sahihi.Habari.
Nyumba inapatikana Mikwambe DSM, karibu na site ya mh. Ndugai (kitu maarufu).
Eneo limepimwa na ina hati tayari. ina eneo la skwea mita 801,
Nyumba ina vyumba viwili na master bed, sebule, dining na store.
Wiring ndani tayari, umeme pia upo jirani na nyumba
Bei ni 70M (milioni sabini)
Kwa mawasiliano check na namba 0711 352 361
Asante.
Sawa, lakini unajua kwamba kwahivi sasa Milioni 70 inatosheleza kupata Nyumba Iliokamilika? hapo kinachokubeba ni eneo kilipo kiwanja, na sio hio nyumba. Milioni 45 inaweza kua bei sahihi.
Mikwambe ni WAPI ? Fafanua zaidi address kwa kutaja maeneo yanayojulikana zaidi kama chanika , tegeta , kigamboni, kimara suka , goba , ??? Sijawahi sikia "Mikwambe"