Ballerina
JF-Expert Member
- Jun 2, 2011
- 386
- 186
Nianze mapema kwa maana nihame ofisini, nimchunie au nimkatalie? Je nikimkatalia itakuwaje si unafahamu ofisini tunafanya kazi kwa ushirikiano akiwa adui yako atakupa ushirikiano kweli? Nikimchunia pia ataona nimedharau na hivyo atanisumbua kuniulizia kila mara jambo silitaki.
Kwahiyo mwanamke yeyote atakeyevutiwa nawe hapo ofisini...........akija hutamkatalia ili ushirikiano wa kazi uwepo?
Acha sababu za ajabu..................halafu wewe unaonekana kumtamani tangu siku nyingi..............acha kutafuta matatizo,mwambie hapana!