amanda cute
JF-Expert Member
- Oct 27, 2016
- 244
- 452
Ninavyosikia sikia ni kua wanaume wa Kikurya na Wamasai hutairiwa bila ganzi haaaa! Kwa kweli hata kwenye ujasiri ni wajasiri ni wanaume wa shoka tofauti na wale wavulana wa Dar wanashindia baga na chipsy mayai na kuishia vijiweni tuu na faragha wanakua walaini hivyo hivyo.
Ila kwa kweli kuacha Wakurya hawa kabila la Wamasai khaa! Wanatairiwa vizuri kwa kweli kwa ile ngozi inaachwa pale kwa chini mhhh! Kusema ukweli inaongeza mambo flani barabara nawapongeza sana wanaume wa kimasai kwa kweli khaa! Sijui nilikua wapi muda wote.
Ila kwa kweli kuacha Wakurya hawa kabila la Wamasai khaa! Wanatairiwa vizuri kwa kweli kwa ile ngozi inaachwa pale kwa chini mhhh! Kusema ukweli inaongeza mambo flani barabara nawapongeza sana wanaume wa kimasai kwa kweli khaa! Sijui nilikua wapi muda wote.