Nakaa najiuliza. Kwa haya yanayotokea kwenye covid 19, ukosefu wa sukari, wafanyakazi kutopandishwa mishahara, serikali kutoajiri, watu kutekwa, miili ya watu kuokotwo ufukweni, watu kotoweka na wengine kupigwa risasi hadharani, watu kubambikiwa kesi, n.k
Hivi, kama huyu Rais angekuwa amewekwa na chama cha upinzani, je wapinzani mgestahimili matusi ya CCM kwenu?
Hivi, kama huyu Rais angekuwa amewekwa na chama cha upinzani, je wapinzani mgestahimili matusi ya CCM kwenu?