Ingekuwa wewe, ungemshauri nini hapa?

This is the meaning of true love
 
Kosa alilofanya ni kukiri makosa.... Jamani ukichepuka na hujafumaniwa ni marufuku kukiri makosa, komaa hujafanya chochote mwanzo mwisho kitendo cha kukubali hilo ni kaburi lako umejichimbia mwenyewe...

Hapo kwa kweli aishi na huyo boyfriend wake kwa akili lolote laweza kutokea
 
Uyo mwanamke ana matatizo Kama sio mnafiki basi kaambukizwa maradhi katafuta gear sababu alikuwa anawapa sana wapolo.
 
Hapo ndo shetani alinipitia inatake place! Sasa anaumia nini wakat kyataka mwenyewe?
 
Tena hata ikifumaniwa, singizia pombe banaa, au hata bangi... Huku ukishikilia kuwa hujagegedana.... KUKIRI JAMBO HILO KUNAGHARIMU... kila kosa utakalofanya baada ya hapo LAZIMA UTAKUMBUSHWA ULICHOKIRI HADI MWISHO WA MAISHA YAKO
 
Mwanaume ni kama jaji au hakimu, ukikiri kosa mbele yake hakumfanyi akupende zaidi, anakuchoronga miaka gerezani mbaa!
Mwanamke kataa, hata akikwambia aliyemwambia kuwa unachepuka ni mamake, mwambie na mimi nikianza kukueleza ya mamako utaachana nae? Au kwakuwa ni mimi ndio unaninyanyasa( anza kulia).
Mwanamke, kataa kuwa mkaa.
 
Waachane tu hamna msamaha wa dhati hapo,hata wasipoachana Sasa huko mbele wataachana tu.
Ni kosa kukubali usaliti pasipokuwa na kidhibiti
 
Kama umekiri kosa mwenyewe bila mimi kufanya jitihada za kutafuta ushahidi, na nikaona nafsi inavyokusuta kwa kufanya kosa hilo, ninaweza kukusamehe na tukaendelea na mipango yetu.

Ila kama ulifanya sex na mtu wetu wa karibu ambaye mimi na wewe tunafahamiana, hapo nitasamehe ila sitaendeleza mahusiano!
 
Huoni Kama kukwambia kitu ambacho wewe ulikuwa hukijui ni dharau kubwa Sana?
 
Anakuja na magunia ya Mkaa au mtungi mkubwa Sana wa gesi....
 
mwambie ampe tigo
 
100% ✓
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…