Yaani jamaa anahofia mbongo fleva mwingine kulala na mkewe? Si kila mshamba anapenda vitu vya computer visivyo na uhalisia....mambo yote ni muziki wa dansi tu na mwanamke achezeshwe Twanga kitandani mpaka ajue kweli yeye ni mwanamke.
Hapo jamaa anamaanisha mrithi wa mkewe baada ya yeye kufariki yupo tayari kwa maneno mengine mkewe anachepuka!
Mbona nilishaelewa? Mkewe anachepuka na kijana (kinda mpenzi wa fleva), kwani mtu mwenye akili timamu hawezi kupenda fleva bali ni Twanga tu na kwenda mbele.