ingekuwa wewe ungefanyaje?

msichana na familia yake hawajatumia busara kwa kweli....warudiane na wavute subira mtoto akizaliwa akapimwe DNA kama wa jamaa asimtelekeze lakini kama sio wake amshitaki huyo mchota maji...

Mimi nina mawazo tofauti... ajali hii ingetokea baada ya wawili hawa kufunga ndoa basi ningeunga mkono kabisa kitendo cha kusameheana.Na mara nyingi wanaume hutafuta kisingizio cha kututendea yale yaliyo kinyume na mara zote tunawasamehe.Kwa vile kulikuwa hakuna mkataba/makubaliano ya kuwafunga kindoa basi siyo sahihi kuwasuluhisha.Ni vema ndoa ikaanza bila historia za ajabuajabu.Hii ni kwa manufaa ya huyo mke mtarajiwa zaidi.Akiendekeza basi atakuwa yeye ni wa kuletewa hadithi za ajabu katika ndoa yake na hatakuwa na jinsi.

Unajua yule dada, anashidwa kuelewa maana mlinzi anasema waliingia ndani wanaongea na yule msichana, sasa anahoji, iweje alikuwa anaongea huku hajitambui au ndo mambo ya ushirikina?

Kuchotachota maji pale, utakuta mdada alikuwa anamlia timing siku nyingi na siku hiyo akatimiza ndoto yake kwa kutumia udhaifu wa mkaka huyo.Inaelekea huyo mkaka naye mhhhhh....

uchumba unasuluhishwa? jamani mtumie zana jamani, huyo dada ashikilie msimamo huo huo.

Asante NY,
Ukishasuluhisha uchumba ujue kusuluhisha ndoa itakuwa ni kama kupiga chafya.Itakuwa haina maana.

Unajua kuwa zaidi ya nusu ya wanaume wa Tanzania waliopima DNA wanalea watoto sio wao kulingana na wanawake wao kulengesha?
NDIYO HAPO USHANGAE.Ni vipi ukimwi utaisha?

Huyu dada ashukuru kuwa hiki kitu kimetokea kabla ya ndoa.Huyo hakuwa mume wake toka mwanzo.Asonge mbele.
 
Mimi naona huyu binti (mchumba) uamuzi aliofanya ni sahihi kabisa. Kwanini? Kwasababu kama huyu kijana ameweza kufanyishwa tendo la ndoa kwa ushirikina ina maana kuwa kama atamuoa huyo mchumba wake iko siku hao wachawi watamtoa roho au kumfanyia mambo mengine ya kumharibia maisha yake kwa ujumla huyu binti. Kwani kwa maelezo yako Joyceline inaonekana hawa wachumba hawajaookoka (Hawajampokea YESU kuwa BWANA na Mwokozi wa maisha yao-maana mwanaume ni mlevi) kwahiyo hawana ulinzi wa MUNGU (Zaburi 34:7, Hesabu 23:23) dhidi ya wachawi. Kwahiyo ni bora huyu mdada akimbie mapema kabla umauti au utaahira haujamkumba toka kwa hao washirikina.

Huu ushauri ushauri mzuri sana labda kwa kuuongezea; Upendo wa Agape husamehe, hujali, huvumili etc ila ule wa 'Filio' sp? Huaangalia mambo ya binafsi, huona makosa ya wengine, huhesabu mabaya, husamehe kwa masharti etc Sasa akikimbia nafikiri akimkimbia mchumba wake anakoenda shetani anapajua. Tena bila shaka atamtangulia kwa mbele na kumsubiri amshughulikie vizuri. Namshauri kijana "mvulana" achukulie huo mkasa positively kwamba through it akubali kuwa bila Mungu ulinzi hakuna na kama akiamini hilo kwanza; akubali kutoa maisha yake kwa Yesu na hayo mengine ni automati. That Jesus will give him the desires of his heart. Ata create mazingira ya yule dada alie m-hook kumwacha tena bila nguvu ya ziada; atasababisha upendo wa mpenzie "mchumba" urudi tena zaidi ya ule wa mwanzo and ultimately their life would be better than what could have been without this experience. Thats how Jesus works, He creates light out of darkness as it is written in one of Paul's epistles I have forgotten which. Ndiyo maana baada ya Yesu kuuawa na shetani the result was the perfect life yaani shetani alijimaliza mwenyewe bila kujua wakati alipofanya kosa la kumuua Yesu kwani bila kufanya hivyo pengine Mungu asingekuwa na sababu ya kumrudishia mwanadamu utukufu alioutoa kwa hiari yake kwa shetani.

Majaribu ni mtaji wa imani yaani kwa mfano bila kuugua ugonjwa usiokuwa na dawa duniani at the point of death then mtu akatoke akakwambia kwa jina la Yesu simama na ikawa hivyo ngumu kuamini Mungu anaponya na mtu aliepatwa na hiyo experience hata wote wakane kwamba Mungu yupo atabaki mwenyewe tena bila mahubiri akiamini 100% pasiposhaka kwamba yupo na anaponya. So kwa waamini unapopata jaribu furahi maana mwisho wako ni mzuri kuliko mwanzo kama utamtazama Yesu bila kupepesa macho pembeni kama vile unavyopita kwenye sehemu nyembamba na chini kuna hatari kubwa unaangalia mbele bila kupepesa macho ndo mbinu ya kuvuka kwa usalama. Huangalii duniani wanafanyaje wakipata hizo shida bali neno la Mungu linasemaje kuhusu hiyo hali nawe unatakiwa kuliamini kama linavyosema kama unavyomeza vidonge vya dawa ya malaria bila kujua huwa vinauaje vijidudu vya maleria kwenye damu, bali unaamini ukimaliza dose na maleria inakwisha na unasubiri hizo siku kwa hamu na tumaini kubwa ndivyo unavyotakiwa kusubiri outcome ya hilo jaribu ukili solve through neno la Mungu na baada ya hapo imani yako inapanda degree moja juu. For our faith grows from glory to glory the only gud thing about it is we never fail but always take our lives upward and upward only.

Mbarikiwe wapendwa.
 
Last edited:
rmashauri,niwie radhi pale ntakosea.je? hakijasema kitabu kwamba mke anaweza kumuokoa mume wake katika janga na kwamba anaeolewa na mume ambae hajaokoka basi asimwache bali kwa ukarimu wake anaweza kumgeuza mumewe?kitu kama hicho ila nikipata aya kamili nitakupa.naona si vyema binti amtoroke huyo jamaa.ni maoni tu.

Ndugu yangu fundiaminy samahani sikuwa nimeona post yako mapema,
Hilo andiko unalosema linawahusu wale walio kwenye ndoa tayari tu, yaani waliooana kabla ya kumpokea KRISTO maishani mwao na baadae mmoja wao mke/mme akampokea BWANA siyo kwa wachumba. Waliookoka (wasio katika ndoa bado) wanatakiwa waoe/waolewe katika BWANA tu.

2 Corinthians 6 (Amplified Bible)

14Do not be unequally yoked with unbelievers [do not make mismated alliances with them or come under a different yoke with them, inconsistent with your faith]. For what partnership have right living and right standing with God with iniquity and lawlessness? Or how can light have fellowship with darkness?

15What harmony can there be between Christ and Belial [the devil]? Or what has a believer in common with an unbeliever? 16What agreement [can there be between] a temple of God and idols? For we are the temple of the living God; even as God said, I will dwell in and with and among them and will walk in and with and among them, and I will be their God, and they shall be My people.


Kwa waliooana kabla ya kuokoka na mmoja wao akaokoka maandiko yanasema;
1 Corinthians 7 (Amplified Bible)

10But to the married people I give charge--not I but the Lord--that the wife is not to separate from her husband.

11But if she does [separate from and divorce him], let her remain single or else be reconciled to her husband. And [I charge] the husband [also] that he should not put away or divorce his wife.
12To the rest I declare--I, not the Lord [for Jesus did not discuss this]--that if any brother has a wife who does not believe [in Christ] and she consents to live with him, he should not leave or divorce her.
13And if any woman has an unbelieving husband and he consents to live with her, she should not leave or divorce him.
14For the unbelieving husband is set apart (separated, withdrawn from heathen contamination, and affiliated with the Christian people) by union with his consecrated (set-apart) wife, and the unbelieving wife is set apart and separated through union with her consecrated husband. Otherwise your children would be unclean (unblessed heathen, [a]outside the Christian covenant), but as it is they are [b]prepared for God [pure and clean].
15But if the unbelieving partner [actually] leaves, let him do so; in such [cases the remaining] brother or sister is not morally bound. But God has called us to peace.
16For, wife, how can you be sure of converting and saving your husband? Husband, how can you be sure of converting and saving your wife? 17Only, let each one [seek to conduct himself and regulate his affairs so as to] lead the life which the Lord has allotted and imparted to him and to which God has invited and summoned him. This is my order in all the churches.
 
Uchumba Miaka 5...? are they serious?...haukuwa uchumba walikuwa Wazinifu Wenza!!!!

Msilete mambo ya ushirikina hapo....Ulevi tu...ULEVI ndio Ufunguo wa mambo SHARI yote...!!!!
 
Back
Top Bottom