Nina rafiki yangu, alitegemea kufunga ndoa dec thisyear,
Jana amemuacha mchumba wake waliyekaa 5 years tangu urafiki hadi uchumba.
huyo mchumba wake katoka arusha kaamia hapa dar huko maeneo ya kimara kwa biashara zake.
Hapo kwake kuna kisima cha maji , kwa hiyo majirani wanakuja kuchota akiwepo au asipokuwepo.
mwezo 1 uliopita jioni alienda bar moja kunywa, amekaa kidogo akaja dada mmoja yeye anmfahamu anamuona akija kuchota maji,
Akamwambia kaka naomba nikae hapa namsubiri jamaa yangu akamwambia kaa tu usijali, wanaongea ongea yule jamaa kanywa kachoka akataka kuondoka kwenda kwake, yule msichana akamwambia hata mimi jamaa yangu naona kanidanganya nipe lifti, akamwambia twende,
Kwa mujibu wa yule jamaa mpaka hapo hajui kilichoendelea amekuja kushtuka saa saba usiku yuko kitandani na yule msichana kama walivyozaliwa hajitambui.
akaanza kumuuliza imekuwaje akamwambia mimi nakupenda siku nyingi sikuwa na njia ya kukuingia, jamaa kachhanganyikiwa msichana kavaa nguo zake kaondoka usiku huohuo,
Yule jamaa asubuhi kamuita mpenzi wake akamuelezea tukio lilivyokuwa basi kukatokea kutokuelewana hadi wazazi wakaitwa wakawasuluhisha sana vikao kibao yakaisha.
Sasa juzi yule bibie kaja kasema anamimba ya yule kijana na anataka amuoe yeye hawezi kulea mtoto peke yake.
Binti kaja na shangazi zake na mama yake ni wazaramo wamemkalia kijana kooni wanasema lazima amuoe mtoto wao amemuharibia masiha.
Sasa huyu rafiki yangu alivyojua hivyo kamuacha mchumba wake bila kusikiliza maelezo wala utetezi wowote tena seriously ikiwa ni pamoja na kurudisha kila kitu hadi pete ya uchumba kavua karudisha,
Ila kijana kawapa shua kwamba hamuoi, sababu hampendi na alilala naye bila kujujua na hiyo mimba labda aliitegesha, kama mtoto ni wake kweli atamtunza akiwa mkubwa atamchukua.
Sasa huu uamuzi aliouchukua shost ni hasira, wivu, au ametumia busara,
au yuko sahihi kufanya hivyo.
Jana amemuacha mchumba wake waliyekaa 5 years tangu urafiki hadi uchumba.
huyo mchumba wake katoka arusha kaamia hapa dar huko maeneo ya kimara kwa biashara zake.
Hapo kwake kuna kisima cha maji , kwa hiyo majirani wanakuja kuchota akiwepo au asipokuwepo.
mwezo 1 uliopita jioni alienda bar moja kunywa, amekaa kidogo akaja dada mmoja yeye anmfahamu anamuona akija kuchota maji,
Akamwambia kaka naomba nikae hapa namsubiri jamaa yangu akamwambia kaa tu usijali, wanaongea ongea yule jamaa kanywa kachoka akataka kuondoka kwenda kwake, yule msichana akamwambia hata mimi jamaa yangu naona kanidanganya nipe lifti, akamwambia twende,
Kwa mujibu wa yule jamaa mpaka hapo hajui kilichoendelea amekuja kushtuka saa saba usiku yuko kitandani na yule msichana kama walivyozaliwa hajitambui.
akaanza kumuuliza imekuwaje akamwambia mimi nakupenda siku nyingi sikuwa na njia ya kukuingia, jamaa kachhanganyikiwa msichana kavaa nguo zake kaondoka usiku huohuo,
Yule jamaa asubuhi kamuita mpenzi wake akamuelezea tukio lilivyokuwa basi kukatokea kutokuelewana hadi wazazi wakaitwa wakawasuluhisha sana vikao kibao yakaisha.
Sasa juzi yule bibie kaja kasema anamimba ya yule kijana na anataka amuoe yeye hawezi kulea mtoto peke yake.
Binti kaja na shangazi zake na mama yake ni wazaramo wamemkalia kijana kooni wanasema lazima amuoe mtoto wao amemuharibia masiha.
Sasa huyu rafiki yangu alivyojua hivyo kamuacha mchumba wake bila kusikiliza maelezo wala utetezi wowote tena seriously ikiwa ni pamoja na kurudisha kila kitu hadi pete ya uchumba kavua karudisha,
Ila kijana kawapa shua kwamba hamuoi, sababu hampendi na alilala naye bila kujujua na hiyo mimba labda aliitegesha, kama mtoto ni wake kweli atamtunza akiwa mkubwa atamchukua.
Sasa huu uamuzi aliouchukua shost ni hasira, wivu, au ametumia busara,
au yuko sahihi kufanya hivyo.