Ingekuwa wewe ungefanya ungemshauri nini?

Yap hiyo ndo sababu kuu inayomfanya aolewe na jamaa huyo.
Binti anavodai alijiingiza kumkichwa kwa jamaa coz aliona ameamshwa hisia na best yangu and then akashindwa kumpa mambo.
Mh...............ina maana walishindwa hata kuvunja ukimya?> Mbona zipo njia nyingi tu za kuridhishana hadi pale atapoweza?? mara nne tu anakata tamaa na kuanza kutafuta mwingine?? sasa akiolewa halafu mumewe akapata tatizo kwa miezi sita?? Ataomba talaka?? Hajatulia huyo
 
Binti alimkubali best yangu wakati sio mchumba wa m2 but kitu kilipokuwa kinagoma wakitaka kuanza shughuli binti ndo akakutana na jamaa akamjaza mimba ili kuficha aibu wakatangaza ndoa dats why binti hampendi jamaa may be ilikuwa kupoza machungu.
Sahivi best yangu ki2 kinakubali kusimama kama kawa na anajua anaiba sahivi!!!!!
mkuu mbona kama siyo kweli vile, yaani jamaa toka ampate binti ni miezi minne, then baada ya binti kuona jamaa jogoo hawiki mara nne akamparamia jamaa mwingine kupoza machungu halafu akanasa mimba, then jamaa mwenye mimba akatngaza ndoa kanisani na wiki ijayo ndoa inafungwa. how comes kwa kipindi kifupi hivi mambo makubwa kama hayo yawezekane?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom