sijui nini
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 2,553
- 1,285
Nikiwa natafakari juu ya mwenendo mzima wa kampeni ulivyokwenda mpaka sasa..na jinsi mwelekeo wa kisiasa ulivyo kwa kuzingatia kipindi chote cha kampeni huku tukiwa tumebaki na siku chache zimebaki kufikia uchaguzi...ndipo nikamkumbuka jamaa yangu jei kei!! Nikajaribu kupitia post nyingi zilizotumwa na wana JF..daah!! mara kakusanya wanafunzi..mara sijui watu wamemsusa huko wapi sijui..mara watu wamemvalisha mbwa tshirt yenye picha yake...loh! Hivi..mwana Jf mwenzangu..unaweza kuvuta picha yoyote kichwani mwako juu ya anayoweza kuwa anawaza mida hii!?? Au unadhani ungekuwa wewe ndo jei kei sasa mfano..ungefanyaje na hali hii...Je, ungejitoa kwenye uchaguzi? Je, ungetafuta mbinu za kuvuruga uchaguzi? Je, ungeacha mambo yaende kama yanavyoonekana kwenda..!??? Je ungeenda kumuomba Slaa walau asikusahau kwenye "ufalme" wake??? au ungeenda Ikulu kuanza kupaki vilivyo vyako tayari kwa safari ya kurudi home!?? Ungefanyaje.....!!?
chadema: :israel: Chichiemu: :A S cry:
chadema: :israel: Chichiemu: :A S cry: