MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
Ndugu zanguni habari!
Nimekuwa nikisoma threads mbalimbali humu katika forum hii yenye kuelimisha. Mengi yamekuwa yakiongelewa kuhusu disappointments ambazo watanzania tumepata baada ya Mkuu wetu wa nchi kushika uongozi. Ni dhahiri kabisa kuwa wengi tulikuwa na matumainmi makubwa sana kuhusu utendaji wake na ndio maana akapata ushindi mkubwa kwenye uchaguzi uliopita.
Mengi tumeyashuhudia katika kipindi hiki cha miaka mitano ya uongozi wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete. Mengi mazuri amefanya na pia amekosea mengine.
Nikajiwa na wazo kama leo hii Mkuu anakujia kwako na kukwambia kuwa 'Nimeamua kukuteua wewe kuwa rais wa nchi hii kwa kipindi cha miaka mitano ijayo'
Ni mambo gani ambayo yamekuwepo katika uongozi huu ungeyabadilisha au kuyaondoa?
Nimekuwa nikisoma threads mbalimbali humu katika forum hii yenye kuelimisha. Mengi yamekuwa yakiongelewa kuhusu disappointments ambazo watanzania tumepata baada ya Mkuu wetu wa nchi kushika uongozi. Ni dhahiri kabisa kuwa wengi tulikuwa na matumainmi makubwa sana kuhusu utendaji wake na ndio maana akapata ushindi mkubwa kwenye uchaguzi uliopita.
Mengi tumeyashuhudia katika kipindi hiki cha miaka mitano ya uongozi wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete. Mengi mazuri amefanya na pia amekosea mengine.
Nikajiwa na wazo kama leo hii Mkuu anakujia kwako na kukwambia kuwa 'Nimeamua kukuteua wewe kuwa rais wa nchi hii kwa kipindi cha miaka mitano ijayo'
Ni mambo gani ambayo yamekuwepo katika uongozi huu ungeyabadilisha au kuyaondoa?