Ingekuwa Marekani, Lowassa keshakosa urais

Ingekuwa Marekani, Lowassa keshakosa urais

The Tomorrow People

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2013
Posts
2,690
Reaction score
2,853
Wakuu;
Kwa nchi kama Marekani, ambayo imeendelea sana ki mawasiliano na demokrasia. Ule mchele uliomwagwa na Dr.Slaa ulitosha kabisa kumnyima kura za wananchi.

Kigezo cha, amecheleea, oooh Katumwa, ooh kapata wapi pesa za press conference... Hizo hoja haziwezi kuficha maovu yalioanikwa na Dr.Slaa.

Kama mtu, anaweza honga mpaka viongozi wa dini... Hii ni zaidi ya hatari.

Hayo maendeleo anayo sema kwa kweli siyaoni yakitokea Tanzania hii. Sana sana kizazi cha wapiga dili nakiona kinazidi kumea sana baada ya miaka 5.

Na mshukuru huyu Mungu aliye Mbinguni, kwa haya mafunuo tuliofunuliwa jana.

Tatizo la Tanzania sio mifumo ya vyama. Bali uroho wa madaraka na rushwa zilizo kithiri.

Sitampa kura yangu mpiga dili. INATOSHA

Magufuli ndiye rais wangu.
 
Wakuu;
Kwa nchi kama Marekani, ambayo imeendelea sana ki mawasiliano na demokrasia. Ule mchele uliomwagwa na Dr.Slaa ulitosha kabisa kumnyima kura za wananchi.

Kigezo cha, amecheleea, oooh Katumwa, ooh kapata wapi pesa za press conference... Hizo hoja haziwezi kuficha maovu yalioanikwa na Dr.Slaa.

Kama mtu, anaweza honga mpaka viongozi wa dini... Hii ni zaidi ya hatari.

Hayo maendeleo anayo sema kwa kweli siyaoni yakitokea Tanzania hii. Sana sana kizazi cha wapiga dili nakiona kinazidi kumea sana baada ya miaka 5.

Na mshukuru huyu Mungu aliye Mbinguni, kwa haya mafunuo tuliofunuliwa jana.

Tatizo la Tanzania sio mifumo ya vyama. Bali uroho wa madaraka na rushwa zilizo kithiri.

Sitampa kura yangu mpiga dili. INATOSHA

Magufuli ndiye rais wangu.

Ni mtazamo tu
 
-Henry. Ford;
Amesema. "If u do what u hv always done,you'll get what u hv always gotten"

Dr;slaa hajashangaza wa2 kajishangaza mwenyewe.Hakuna m TZ hasie jua kuwa Slaa ni TRAITOR nahiyo tabia hakuianza leo.

Hata maaskofu alio watuhumu leo ndio hao waliomuona hafai mpaka wakamfukuza utawa na upadri wa R.catholic.

Hakuishia hapo akamuoa ROSE lkn mwisho wa siku aka m BETRAY na kuendeleza u traitor kwa mwanamke mwengine ambaye si wa ndoa.Sasa amechelewa Mboe alimwambia wame tia GIA angani.


-Lao-Tsu,Tao Teb King;
Amezungumza akasema
"The best solder does not attack,the superior fighter succeed without violence,The greatest conqueror wins without struggle,The most successful manager leads without dictating,this is called intelligent nonaaggressiveness,this is called mastery of men"

NINA MAANA GANI?

Sifa zote hizi alizo zitaja Lao-Tsu,Tao Teb King mhe;EDWARD LOWASSA anazo na anazi ishi sasa yeye sllaa anasubiri na anafikiri mzee;ENL ataita waandishi wa hbr ili ajibu tuhuma za kibuni zisizo kuwa na ushahidi wa kutosha.

Sllaa ategemee kupambana na kina:Tundu antipathy Lossy,Richard Tambwe Hiza,Mnyika,Mdee na n.k hao ndio saizi yk

wa TZ wanataka MABADILIKO.Na mabadilikp yataletwa na UKAWA ikiongozwa na LOWASSA.
 
-Henry. Ford;
Amesema. "If u do what u hv always done,you'll get what u hv always gotten"

Dr;slaa hajashangaza wa2 kajishangaza mwenyewe.Hakuna m TZ hasie jua kuwa Slaa ni TRAITOR nahiyo tabia hakuianza leo.

Hata maaskofu alio watuhumu leo ndio hao waliomuona hafai mpaka wakamfukuza utawa na upadri wa R.catholic.

Hakuishia hapo akamuoa ROSE lkn mwisho wa siku aka m BETRAY na kuendeleza u traitor kwa mwanamke mwengine ambaye si wa ndoa.Sasa amechelewa Mboe alimwambia wame tia GIA angani.


-Lao-Tsu,Tao Teb King;
Amezungumza akasema
"The best solder does not attack,the superior fighter succeed without violence,The greatest conqueror wins without struggle,The most successful manager leads without dictating,this is called intelligent nonaaggressiveness,this is called mastery of men"

NINA MAANA GANI?

Sifa zote hizi alizo zitaja Lao-Tsu,Tao Teb King mhe;EDWARD LOWASSA anazo na anazi ishi sasa yeye sllaa anasubiri na anafikiri mzee;ENL ataita waandishi wa hbr ili ajibu tuhuma za kibuni zisizo kuwa na ushahidi wa kutosha.

Sllaa ategemee kupambana na kina:Tundu antipathy Lossy,Richard Tambwe Hiza,Mnyika,Mdee na n.k hao ndio saizi yk

wa TZ wanataka MABADILIKO.Na mabadilikp yataletwa na UKAWA ikiongozwa na LOWASSA.

km ni traitor basi ni traitor wakusema kweli.... swali muhimu je aliyosema jana yalikuwa ni kweli au uongo???
 
Me nakwambia Slaa alichoongea hakina impact yoyote kwa wana UKAWA watu tumeshaamua kamwe haturudi nyuma Lowassa ndio RAIS.
 
Ingekua marekani. Magufuli hasingeweza kugombea urais.. Pia.. Hii ni Tanzania..ndio maana sio marekani... Sisi tunataka mabadiliko na mtu mwenye dhamira ya kwel Ni Lowassa pekee.. Wengine wanambwelambwela tu..Magufuli anatumwa tu. Hawezi kutuma....
 
Wakuu;
Kwa nchi kama Marekani, ambayo imeendelea sana ki mawasiliano na demokrasia. Ule mchele uliomwagwa na Dr.Slaa ulitosha kabisa kumnyima kura za wananchi.

Kigezo cha, amecheleea, oooh Katumwa, ooh kapata wapi pesa za press conference... Hizo hoja haziwezi kuficha maovu yalioanikwa na Dr.Slaa.

Kama mtu, anaweza honga mpaka viongozi wa dini... Hii ni zaidi ya hatari.

Hayo maendeleo anayo sema kwa kweli siyaoni yakitokea Tanzania hii. Sana sana kizazi cha wapiga dili nakiona kinazidi kumea sana baada ya miaka 5.

Na mshukuru huyu Mungu aliye Mbinguni, kwa haya mafunuo tuliofunuliwa jana.

Tatizo la Tanzania sio mifumo ya vyama. Bali uroho wa madaraka na rushwa zilizo kithiri.

Sitampa kura yangu mpiga dili. INATOSHA

Magufuli ndiye rais wangu.
Huijui Marekani wewe, wala hangethubutu. Kwanza, waandishi wenyewe wangembana asijue hata pa kutokea. Pili, mahakama ingekuwa inamgongea hodi. Tatu, hiyo dai la fidia ingekuwa ya mamilioni ya dola.
 
Me nakwambia Slaa alichoongea hakina impact yoyote kwa wana UKAWA watu tumeshaamua kamwe haturudi nyuma Lowassa ndio RAIS.

Ni kweli hakina impact kwa UKAWA sababu kwa sasa hakuna tena UKAWA wala UPAWA, kuna CCM A na CCM B tu. Lowassa, Mgeja, Mungai, Sumaye, Tambwe Hizza ndio wawakilishi wa CCMB
 
Ujumbe wangu kwa Dr Slaa 1441165357137.jpg
 
"..Nilikua nashindia mihogo... hata nyumba
nayoishi nimejengewa na Mwenyekiti.."
Calculation,
1. Mihogo 250/= × 2 x 3 = 1500/= per day,
(tamka "buku jero")
2. 1500/= × 365 days = 547,500/= a year. TOTAL
547,500/=
Press Conference,
1. TV (live coverage) 25 mil × 3hrs × 3Chanels =
225 mil.
2. Radio (Live coverage) 2 mil x 3 hrs × 10 = 60
mil.
3. Newspapers 5 mili (Lampsum).
TOTAL 290 Mil [tamka "milioni mia mbili na
tisini"]
Huyo ndiye mtu aliyekuwa akishindia mihogo.
Unashindia mihogo ya buku jero kwa siku, then
unachoma almost 300 Mil. in three hours, na
unapata ujasiri wa kuwaita wenzio Mafisadi.
Duuuh # Shikamoo_mihogo .!
 
Dr Slaa hzo tuhuma kazitoa wapi?tunataka mwanaccm tena mwenye cheo cha juu especially rais wetu akae juu ya meza atueleze yeye ndo anayemjua zaid Lowassa kuliko mtu mwingine yeyote Slaa haelewi chochote anapandikiziwa tu maneno hata alivyomtaja pale Temeke ile ripoti aliandikiwa...ni watu wenye upeo mdogo tu wa kufikir ndo watakuwa wamekubaliana na Slaa
 
Huijui Marekani wewe, wala hangethubutu. Kwanza, waandishi wenyewe wangembana asijue hata pa kutokea. Pili, mahakama ingekuwa inamgongea hodi. Tatu, hiyo dai la fidia ingekuwa ya mamilioni ya dola.

Mwambie huyoo na kwa tuhuma anazotuhumiwa Lowassa hata mtaani asingeweza kukanyaga
 
Huijui Marekani wewe, wala hangethubutu. Kwanza, waandishi wenyewe wangembana asijue hata pa kutokea. Pili, mahakama ingekuwa inamgongea hodi. Tatu, hiyo dai la fidia ingekuwa ya mamilioni ya dola.

huyu ngd. Aliyeweka haka kauzi kake kakiccm ccm, ajue kwamba marekani ni tofauti na tanzania na africa,

marekani kwanza hakuna siasa za majitaka, kama tanzania,

marekani ukimtuhumu mtu na huna ushahidi wa kumtia hatiani uliyemtuhum, imekula kwako utamlipa uliyemtuhum mpaka senti ya mwisho,

sasa ihi michezo ya chafua chafua ipo tanzania na africa,
 
Me nakwambia Slaa alichoongea hakina impact yoyote kwa wana UKAWA watu tumeshaamua kamwe haturudi nyuma Lowassa ndio RAIS.

Mkuu umenena sawa. Hakuna lolote jipya alilozungumza kuhusu Lowasa ambalo halijasemwa. Amerudia yale yale kwa hiyo hawezi kubadili watu waliokwisha amua tayari.
 
Ingekua marekani. Magufuli hasingeweza kugombea urais.. Pia.. Hii ni Tanzania..ndio maana sio marekani... Sisi tunataka mabadiliko na mtu mwenye dhamira ya kwel Ni Lowassa pekee.. Wengine wanambwelambwela tu..Magufuli anatumwa tu. Hawezi kutuma....

tena kwa kile kitendo cha kuuza nyumba za serikali haoni shida kuuza watanzania simoi kura yangu magufuli hata kidogo
kwanza huku kitaaa slaa jana watu wamemuona ---- tu
 
Back
Top Bottom