bombu
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 1,127
- 542
Ingekukuta hii......
Uko ndani ya "mkoko" boomba kabisa, unamwona binti mzuuuri, unaamua kumpa lifti. Akiwa ndani ya gari binti anapoteza fahamu, unaamua kumkimbiza hospitali, wakati ukisubiri nje unamwona nesi anayemhudumia akija uelekeo wako. Anakupa hongera kwa kuwa binti ni mjamazito. Unamwelewesha kuwa wewe si muhusika, lakini kwa msahangao yule binti anasema kuwa mimba ni yako. Unaomba kupima vinasaba, ambapo kwa mshangao zaidi baada ya vipimo Doctor anakwambia kuwa mbegu zako hazina uwezo wa kutungisha mimba. Unahamaki kwani una mke na watoto watatu.
Je, ungechukua hatua gani?
Uko ndani ya "mkoko" boomba kabisa, unamwona binti mzuuuri, unaamua kumpa lifti. Akiwa ndani ya gari binti anapoteza fahamu, unaamua kumkimbiza hospitali, wakati ukisubiri nje unamwona nesi anayemhudumia akija uelekeo wako. Anakupa hongera kwa kuwa binti ni mjamazito. Unamwelewesha kuwa wewe si muhusika, lakini kwa msahangao yule binti anasema kuwa mimba ni yako. Unaomba kupima vinasaba, ambapo kwa mshangao zaidi baada ya vipimo Doctor anakwambia kuwa mbegu zako hazina uwezo wa kutungisha mimba. Unahamaki kwani una mke na watoto watatu.
Je, ungechukua hatua gani?