Ingekua wewe ungefanya nini kwenye mtego huu?

Mkuu achana na huyu binti kumbe yupo Moro sec!@! we achana nae anaweza kwenda kuuza Kaumba pale alafu ukauziwa kesi mkuu si bado mnawasiliana nae....
 
"Kuwa na Mashori wengi si kipimo cha Urijali, kama mwanaume wa kweli, nyumbani wapate Ugali"-Gudboy

Signature ya Gudboy imetulia kweli.
ni kweli mimi sina mashori kaka signature inavyoonekana, siku zote natafuta maisha kwa ajilki ya familia yangu, ile bahati mbaya tu mazee
 
unajua ndugu hiyo ilikuwa mwaka jana mwezi wa 4, na amekwishamaliza kidato cha 4 na sasa anasoma cha 5. Halafu hujasema kama ungekua wewe ungefanya nini ikiwa ni dada wa rafiki yako. Thanx

Ningekuwa mimi nisingeondoka. Ningeendelea kumega mpaka kieleweke.
 
Hii story Siikweli umejaribu kutumia tu akili ya kuzaliwa lakini maelezo hayafanani na hisia za tendo hilo
 
Hapa hakuna wakukushauri mtu kama wewe,nyie ndio mijitu mnaopataga miukimwi alafu mnasingizia mmerogwa,solution mnakimbilia kanisani,sasa kwa mtindo huo unafikiri utaepuka vipi ngoma?Wewe hufai kuitwa rafiki na mtu yeyote,unafadhiliwa na huthamini fadhila,je huyo kaka yake angekufuma ungemdanganya nini,au ndio gia zenu za kujidai ulikuwa unampiga tuit?Sasa tudanganye kama ulitumia kinga,au kwakuwa mwanafunzi ndio unajua mzima?Jiheshimu we kahaba la kiume!!!
 
gud boy una mke?
hapana ndio kwanza nimemaliza chuo, naangalia kwanza maisha then hayo mengine nitarekebisha baadae, maana sitaki familia yangu ipate tabu si unajua tena maisha ya sasa
 
Hii story Siikweli umejaribu kutumia tu akili ya kuzaliwa lakini maelezo hayafanani na hisia za tendo hilo
kama hutaki sikulazimishi lakini ukweli ndio huo, kwa ushahidi hata juzi kanitumia sms inasema hivi "I miss you so much ma love, nipo bed nawaza siku ile kwa bro mafinga, nce nte, still lv u" ukitaka ushahidi zaidi nityafute nitakupeleka ukamuoji mwenyewe kaka
 
dah mkubwa tusishutumiane, haya mambo hutokea kwa kijana au mwanaume yeyote, ila kwa kuwa nimeona ni kosa ndio maana nikaona niliweke wazi na pia najuta makosa niliyoyfanya, kwa hiyo sio kutumia abusive language wakati unamshauri mtu, maadam hakuna baya liliojitokeza wala hakuna negative effects kwenye tulichofanya sina budi kuyaepuka ndugu, mimi ni binadamu na sio malaika
 

Inamaana huoni negative effects katika uovu huo? Kweli wewe ni balaa !!
 
 
Mmh badha kaka huo wala si mtego bali umejitega mwenyewe. Yaani kumuona siku mbili tu binti wa watu ukajimwaga naye! Na hilo lililofanyika lilifanyika katika mazingira salama au ndio kwa haraka zenu/zako na kuogopa kukutwa mkasahau usalama wenu? Kwa kweli sina hata cha kushauri zaidi ya kushangaa! Ila kaka kwa spidi hiyo, hatari iko mbele!
 
hapana ndio kwanza nimemaliza chuo, naangalia kwanza maisha then hayo mengine nitarekebisha baadae, maana sitaki familia yangu ipate tabu si unajua tena maisha ya sasa

Ila familia za wenzio ndio unapenda zipate taabu sio? Kwanini sasa uendelee kumfuatilia dada wa watu ili hali unajua bado ni mwanafunzi? Umemfuata Mafinga, wakamleta moro kusoma bado unae tu na sim wampigia? Kama kweli wapenda familia za watu zisiwe kwenye taabu basi mwache dada wa watu asome ili nae amalize chuo kama wewe halafu aangalie maisha yake from there. Kuna mtu humu JF signature yake inasema ficha upumbavu wako usifiche werevu wako.
 
Aisee hongera sana Gudbway, hizi spring chicken ni any man's dream!!! ukitaka kabao kaboja unajikuta umepiga viwili!!! Na mimi binafsi najua utamu wa hayo mabao ya offside, unapiga huku una ile hofu kwamba mtu anaweza tokea, asikuambie mtu bana!!!
Sasa cha kufanya mdogo wangu, changa changa mpunga afu uialike hiyo ngoma Bongo au uzuke Moro ukachukue hoteli iliyoenda shule upate kuila kwa nafasi- cha msingi ni ku make sure unatumia daluga ili usijemtia mimba na kumvurugia masomo yake, tafuta weekend ukampunguzie mwenzio stress, goodluck!
 
Hapa mwana uliharibu sana na inaonesha ulimega peku hata haukuvaa viatu kwenye hiyo game kwa vile inaonesha haukutegemea kuwa itatokea.
Kama siku nyingine uwe na subira kidogo mkuu.
 
Hapa mwana uliharibu sana na inaonesha ulimega peku hata haukuvaa viatu kwenye hiyo game kwa vile inaonesha haukutegemea kuwa itatokea.
Kama siku nyingine uwe na subira kidogo mkuu.
thanx sana kaka kwa ushauri mzuri
 
mwanaharamu wewe mim nikijua unanifanyia uswaini getoni kwangu na ku-do wewe sasa!IDIOT FELLOW
 
kwanza mimi nisinge mchapa huyo mtoto. then wewe usiwe weak kihivyo mtoto wakiume zingatia mausiano mema na refiki zako coz hauoni kama wamekubeba sana kukupa hifadhi hiyo ndo faida yao au???? kama ni hyo utaduuu na wengi cz mjini hapa si ndo watoto balaaaaaa
 
Ngoja nimtafute huyo binti Moro sec najua nitampata tu alafu naorganize ufunguliwe mashtaka ya kumega kinguvu huyu binti naweza sema ulimbaka alafu tunapima virusi wote wawili akibainika anavyo basi itabidi uozee jela tu maana hakuna haja ya kusikiliza kesi umesha mwaribia maisha huyu binti.
 

...Mh mbona umepatwa na uchungu wa ghafla baada ya kupewa hizo details? au we ndo kakamtu? Pole swity
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…