Mjenda Chilo
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 1,471
- 526
Hivi inawezekanaje mchele kilo 2800? viongozi hawafanyi kitu? Mi na kashule na kakazi kangu shughuli naipata sasa yule mwenzangu na mimi inakuwaje? Imagine this is May, come december mtaniambia.
Zile hela za ziara za mawaziri mikoa ni kuwaambia wananchi nini kimefanywa na serikalli yao nashauri wakanunue grains nje waziflood sokoni kushusha bei. Ile hifadhi ya chakula SGR vipi mbona wameshindwa kucurb price hikes za vyakula? au ndo siasa nao. Life is too tough.
Zile hela za ziara za mawaziri mikoa ni kuwaambia wananchi nini kimefanywa na serikalli yao nashauri wakanunue grains nje waziflood sokoni kushusha bei. Ile hifadhi ya chakula SGR vipi mbona wameshindwa kucurb price hikes za vyakula? au ndo siasa nao. Life is too tough.