Infinix hot 4 x557

Sam pizzo

JF-Expert Member
Sep 27, 2012
846
516
Wakuu habari zenu? Kuna simu tajwa hapo juu imezima ghafla haichaji na Wala haitambuliki na computer (windows7,windows10),Je shida n nn?
Natanguliza shukrani
 
Wakuu habari zenu? Kuna simu tajwa hapo juu imezima ghafla haichaji na Wala haitambuliki na computer (windows7,windows10),Je shida n nn?
Natanguliza shukrani
Hiyo mashine ndo ishazingua, zingine zinaamka baada ya kuipiga moto wakutosha katika processor chip(inakuwa covered na kibati flan hv).

Note: sio zote zinakubali kuwaka, kuwa tayari kwa matokeo yoyote.
 
Hiyo mashine ndo ishazingua, zingine zinaamka baada ya kuipiga moto wakutosha katika processor chip(inakuwa covered na kibati flan hv).

Note: sio zote zinakubali kuwaka, kuwa tayari kwa matokeo yoyote.
Ahsante kwa ushauri
 
Mara nyingingi hizo simu zainashida ya emmc (flash ic ) na sio processor kama anavyo sema. Hizo simu wameweka emmc card za bei nafuu (aina yake ni kingstone) ambazo hazidumu. Cha kufanya sio kupiga moto ila ni kubadilisha storage chip. Kama upo arusha unaweza nitafuta kupitia 0743098141 kwa msaada zaidi.
 
Kaka kitambo sana naona unashusha material kwa vijana wako , ila kuchange emmc card si sawa na utumbo wa simu ?
 
Ni kweli mkuu wengi hudhani ni processer ingawaje wakati mwingine nayo yaweza kuwa sababu. Ila ukweli ni kwamba kuna mambo matatu yawexa kusababisha kwa upande wa emmc ambayo ndiyo storage na ram pia kwa hizo simu.

1. Yaweza kuwa emmc imefeli hivyo kuhitaji ibadilishwe au

2. Baadhi ya zile balls za emmc zimeachia na hivyo kuhitaji zipigwe tena moto ili zishikane ama kufanya reball. Au

3. Circuit board pale ambapo hiyo chip ya emmc huwa solderd patakuwa pameng'oka moja kwa mija na njia yake na hivyo kuhitaji kubadili circuit board.

Hii shida ya tatu kwa ninavyofikiria mimi huwa inasababishwa na kuangushwa angushwa kwa simu.

Sent from my cupboard using mug
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…