Inerview immigrarion 2013

Inerview immigrarion 2013

kambi safi

Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
9
Reaction score
1
wadau habari kutoka uhamiaji zinasema vijana zaid ya 6000 wameomba lakini haijulikani kama wataita kwenye intervie, itakuwa kimya kimya ili kuondoa msongamao. wadau tujuzane kama watatoa hiyo kimya kimya, au mwenye update atupe maana vijana walificha degree na kujifanya form six hat mimi mmoja
 
Wametangaza nyingine tena koplo 7 na konstebo 7
 
Me sijaelewa wadau kwani kama wamesema wanahitaji vijana wa form six katika barua yangu ya maombi nikiweka wazi kuwa labda pia nina degree au dploma ya taaluma flani nakosea?? Jibu tafadhali.
 
ndio unakosea kwan wangetaka wa degree au diploma wangesema
 
hapana ndugu hujakosea zile wanazotaja pale zinakuwa ni minimum qualification,i.e any one with less than that should not apply.
 
Back
Top Bottom