Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imemkabidhi mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, gari aina ya Land Cruiser pamoja na dereva, kwa ajili ya kampeni na kwamba ataambatana nalo kuanzia leo, mpaka kampeni zitakapokwisha.