India: Watu 132 wafariki baada ya daraja la waenda kwa miguu kuporomoka

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Aug 2, 2021
1,024
1,615
Takriban watu 132 wengi wako wakiwa ni Watoto, Wanawake na Wazee, wamepoteza maisha wakati daraja la waenda kwa miguu la Morbi likiporomoka katika Jimbo la Magharibi la Gujarat

Mashuhuda wanasema ajali hiyo imetokana na daraja hilo (ambalo lilifunguliwa tena wiki moja tu iliyopita baada ya kukarabatiwa) kuzidiwa uzito na Mamia ya watu waliokuwa wakisherehekea tamasha la #Diwali

Hadi sasa 177 wameokolewa huku idadi ya vifo ikitajwa kuweza kuongezeka

…………….

At least 132 people died when a pedestrian suspension bridge collapsed in India's western state of Gujarat.
A local official said most of those who had died were women, children or elderly. The bridge in Morbi had been reopened just a week ago after repairs.

There was overcrowding on the bridge at the time as people celebrated the Diwali festival, officials said.
The 230m (754ft) bridge on the Machchu river was built during British rule in the 19th Century.

The death toll is expected to rise further. Police, military and disaster response teams were deployed and the rescue effort continued through the night. Rescue operations are still underway. More than 177 people have been rescued so far, officials said.

"Many children were enjoying holidays for Diwali and they came here as tourists," an eyewitness called Sukram told Reuters news agency.

"All of them fell one on top of another. The bridge collapsed due to overloading."

Source: Indian News, Reuters
 
Back
Top Bottom