waenda kwa miguu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    Manzese kujengwe Daraja lingine la waenda kwa miguu

    Hakuna kitu kinakera kama foleni ya Manzese! Yaani unakaa foleni ili kupisha watu wavuke kwa mamia!!? Mambo ya kizamani sana haya. Tunacheleweshana tu katika maendeleo. Mamlaka husika waliangalie hili. Tunaonekana wote ni wajinga kwa kukosa weledi wa kutatua changamoto iliyowazi kabisa.
  2. Lady Whistledown

    India: Watu 132 wafariki baada ya daraja la waenda kwa miguu kuporomoka

    Takriban watu 132 wengi wako wakiwa ni Watoto, Wanawake na Wazee, wamepoteza maisha wakati daraja la waenda kwa miguu la Morbi likiporomoka katika Jimbo la Magharibi la Gujarat Mashuhuda wanasema ajali hiyo imetokana na daraja hilo (ambalo lilifunguliwa tena wiki moja tu iliyopita baada ya...
Back
Top Bottom