wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,226
- 37,576
India ni mdembwedo tu, hata Pakistan hua inampa kichapo heavy.
....! Duuh...!MKUU jiandae kuitwa GAIDI MUJAHEDEEN namfano wahayo.....
Maana umewaeleze ukweli ambao wengi hawataki kuusikia
lolIndia kama muvi zake na masteling wao wako vile basi wanafaa kupigwa tu hamna kitu.
Sasa sio kila sehemu US anaweza weka mkono.Vita nyingine yeye kushiriki ni mpaka naye aingize kichwa!Kila kitu na kipi?. U.S.A akimtaka mtu ampige kwa njia yoyote anampatia. Hasa palipo na maslahi yake au maslahi yake yakiguswa. Mfano ni kama Angola kabla ya kukaa sawa kulikuwa na vikundi viwili vinapigana,kimoja kikiweka masikani yake DRC,kingine kikiwa msituni Angola,vikundi vyote vikipigigania kuiongoza Angola. Unajua kitu gani kilikuwepo? Vikundi vyote vilikuwa vinafadhiriwa na mtu mmoja,U.S.A. kupiganisha huko ili anyakue mafuta na madini kirahisi. Rejea vita vinavyoendelea kila uchwao hapo DRC. Hapo yapo maslahi ya U.S.A
Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
India wapo position 4 nadhani.Au Marcos ni part ya military ya India wako vizuri sana ukitaja top ten militaries nadhani hawakosi mkuu. Pakstan na India wako vizuri pia kwa intelligence kwakuwa wamekaa eneo ambalo llina ugaidi mwingi.
Ndio wanatandikwaa daily mara Wapakistan mara MchinaaIndia ni kati ya nchi yenye jeshi linaloheshimika na intelligence ya hali ya juu, usiwa underestimate.
Tunaambiwaga sisi tuliopo chaka muvi zinabeba uhalisia wa maisha ya jamii husika, kwa mantiki hiyo naona wahindi wanaweza mapenzi tu lakini sio combat.
Kapigana na nchi gani ya maana zaidi ya Pakistan na masikini wengine wanaomzunguka? Yani hao ndo kama ndugu zetu Kenya kwenye statistics za jeshi utawaogopa ila ukija uwanjani wanachakazwa hadi na wale wavaa makobazi wa somaliaIndia ni kati ya nchi yenye jeshi linaloheshimika na intelligence ya hali ya juu, usiwa underestimate.
Ingekuwa rahisi hivyo Kashmir lingekuwa eneo la Pakstan leo hiindo wanatandikwaa daily mara Wapakistan mara Mchinaa
Dunia ya leo nchi hazipigani ovyo labda zinapigana na magaidi na vikundi ya kimapinduzi. Tunajua uwezo wa kijeshi wa nchi husika kwa vifaa vya kijeshi walivyo navyo, ukubwa wa jeshi, intelligence system yao na operations walizofanya iwe ni za kigaidi au kuokoa mateka.Kapigana na nchi gani ya maana zaidi ya Pakistan na masikini wengine wanaomzunguka? Yani hao ndo kama ndugu zetu Kenya kwenye statistics za jeshi utawaogopa ila ukija uwanjani wanachakazwa hadi na wale wavaa makobazi wa somalia
watapigwa mpaka wajambe
sawaaa mgogoro wao wa mwishoni huuIngekuwa rahisi hivyo Kashmir lingekuwa eneo la Pakstan leo hii
India na Pakstan kwenye ranking nadhani anaanza India then anayefuata Pakstan which means hawajazidiana sana kwenye military capabilities maana wote wako zone yenye matukio sanasawaaa mgogoro wao wa mwishoni huu
fatilia nani alipoteza askari zaid ya mwenziee...
Unahisi India kuwa ranked kuwa na military capabilities za juu ilikuwa bahati mbaya? Au walioirank ni mandezi?Haya tukikipiga na Kenya itakuaje?? Maana wanavifaa vingi kutuzidi.....na hata kwa dunia ya zamani muhindi alipigana na taifa lipi la maana zaidi tu ya tension za ndani ya nchi yake na majirani zake utopolo
Eh kwakweli wanaweza Mapenzi tu..sio kwa movie's zile dohTunaambiwaga sisi tuliopo chaka muvi zinabeba uhalisia wa maisha ya jamii husika, kwa mantiki hiyo naona wahindi wanaweza mapenzi tu lakini sio combat.