INCUBATOR YA KUTOTOLESHEA MAYAI @ 2.3 Milion

INCUBATOR YA KUTOTOLESHEA MAYAI @ 2.3 Milion

snail

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2012
Posts
462
Reaction score
142
Kama inavyoonekana kwenye picha, ni nzima imetumika kidogo sana.
Bei Tsh, 2,400,000
Uwezo wa kutotolesha maya 1,500 kwa mara moja
Ufanisi ni 95% tegemea na ubora wa mayai yako
Nishati inayotumia ni umeme wa Tanesco
Sababu ya kuuza: Niko nazo mbili na kwa uwezo wangu wa kuzalisha na kutafuta masoko nimeona sina haja ya kuendelea kuiweka bila kuifanyia kazi.
Mahali ilipo: Mbezi Makabe
Mawasiliano: 0786283599 na Barua pepe: semkiwa@gmai.com

Naomba kwakua siingii sana humu basi kwa atakaokua na uhitaji wa kweli anipigie simu au kunitumia barua pepe.
 

Attachments

  • IMG-20180222-WA0002.jpg
    IMG-20180222-WA0002.jpg
    38.6 KB · Views: 44
  • IMG-20180222-WA0003.jpg
    IMG-20180222-WA0003.jpg
    38.5 KB · Views: 42
  • IMG-20180222-WA0004.jpg
    IMG-20180222-WA0004.jpg
    35.6 KB · Views: 38
  • IMG-20180222-WA0005.jpg
    IMG-20180222-WA0005.jpg
    38.8 KB · Views: 40
  • IMG-20180222-WA0006.jpg
    IMG-20180222-WA0006.jpg
    39.9 KB · Views: 37
  • IMG-20180222-WA0007.jpg
    IMG-20180222-WA0007.jpg
    33.5 KB · Views: 37
Back
Top Bottom