Kama inavyoonekana kwenye picha, ni nzima imetumika kidogo sana.
Bei Tsh, 2,400,000
Uwezo wa kutotolesha maya 1,500 kwa mara moja
Ufanisi ni 95% tegemea na ubora wa mayai yako
Nishati inayotumia ni umeme wa Tanesco
Sababu ya kuuza: Niko nazo mbili na kwa uwezo wangu wa kuzalisha na kutafuta masoko nimeona sina haja ya kuendelea kuiweka bila kuifanyia kazi.
Mahali ilipo: Mbezi Makabe
Mawasiliano: 0786283599 na Barua pepe: semkiwa@gmai.com
Naomba kwakua siingii sana humu basi kwa atakaokua na uhitaji wa kweli anipigie simu au kunitumia barua pepe.
Bei Tsh, 2,400,000
Uwezo wa kutotolesha maya 1,500 kwa mara moja
Ufanisi ni 95% tegemea na ubora wa mayai yako
Nishati inayotumia ni umeme wa Tanesco
Sababu ya kuuza: Niko nazo mbili na kwa uwezo wangu wa kuzalisha na kutafuta masoko nimeona sina haja ya kuendelea kuiweka bila kuifanyia kazi.
Mahali ilipo: Mbezi Makabe
Mawasiliano: 0786283599 na Barua pepe: semkiwa@gmai.com
Naomba kwakua siingii sana humu basi kwa atakaokua na uhitaji wa kweli anipigie simu au kunitumia barua pepe.