Inayowindwa ni CHADEMA siyo Fr Kitima

Inayowindwa ni CHADEMA siyo Fr Kitima

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
25,161
Reaction score
48,425
Kuna watu wanashangazwa na harakati za baadhi ya wana CCM kutumia wanaojiita waumini wa Dhehebu la kikatoliki, kupambana na Padri. Charles Kitima.

Kilichoko nyuma ya harakati hizo si vita dhidi ya Kitima bali ni vita dhidi ya CHADEMA.

CCM kwa sasa ni heri wabakie na wanyonya damu kuliko CHADEMA kuendelea kuwepo.

Mbinu za CCM ni za kizamani sana zama za ujima
 
Kuna watu wanashangazwa na harakati za baadhi ya wana CCM kutumia wanaojiita waumini wa Dhehebu la kikatoliki, kupambana na Padri. Charles Kitima.

Kilichoko nyuma ya harakati hizo si vita dhidi ya Kitima bali ni vita dhidi ya CHADEMA.

CCM kwa sasa ni heri wabakie na wanyonya damu kuliko CHADEMA kuendelea kuwepo.

Mbinu za CCM ni za kizamani sana zama za ujima
Ule uenyekiti ulimuuma sana jamaa
 
Back
Top Bottom