Swali lako ni pana kuliko unavyofikiria. It needs us to assume a lot of things?Labda ulielezee kiasi...
Mf:
Je, ni mtu ambaye mmezaa naye mkalazimika kuishi pamoja?
Je, ni mtu anayeonekana kukupenda sana kiasi unafeel unfair for not reciprocating his/her love?
Je, ni rafiki yako wa kike/kiume ambaye unaona ana hisia za kimapenzi juu yako na wewe mpaka sasa unamchukulia kama rafiki?
Je, ni mtu ambaye rafikizo wanaona anakufaa na wewe huna hisia naye?
Je...
Tupe the reason behind the question because maswali yote niliyouliza yana majibu tofauti.
Nawasilisha...