Haupo wrong mkuu, hiyo kitu ni kwel, kernel zina matterMkuu ninachojua mimi ili uweze kubadili OS moja ya simu kwenda OS nyingine kwenye simu huwa inategemea sana aina ya kernel, loader na memory architecture ya hizo OS, mfano haiwezekani ukabadili simu ya windows phones OS kwenda Android OS kwa sababu zina kernel na loader tofauti, windows phones OS inatumia windows NT kernel wakati Android OS inatumia linux kernel , lakini kuna OS zinazoweza kuingiliana mfano, simu za Android zinauwezo wa kuingiza Ubuntu mobile OS kwa sababu zote zinatumia kernel ya linux zote, pia kuna fununu kuwa simu ya Nokia N9 ambayo inatumia Meego OS na kernel ya linux iliweza kupokea Android OS. Haya ni mawazo yangu tu, huenda mtu mwingine ana mawazo tofauti na haya na nikawa nipo wrong, wadau watanisahihisha ama kuongeza vitu vingine nilivyosahau