Inawezekana ikawa kweli?

Inawezekana ikawa kweli?

Na ndio maana sisi tunaweza kukutana bila uoga je TIBA tukimtaka tukutane nae atakuja??

Au wakutane wao kwa wao WATASUBUTU! thubutu!!!! Wanaogopana vibaya sana!
 
Cheki TIBA kaka yangu mwenzio siasa ilivyonichosha unanishauri niendelee nayo?

6451d1257338742-inawezekana-ikawa-kweli-choka-mbaya.jpg
 

Attachments

  • choka mbaya.jpg
    choka mbaya.jpg
    30.8 KB · Views: 78
Cheki TIBA kaka yangu mwenzio siasa ilivyonichosha unanishauri niendelee nayo?

6451d1257338742-inawezekana-ikawa-kweli-choka-mbaya.jpg

hehehehehehe!hii ni politiksi bana!
wanaoijadili kwa sana wapo yuropu na amerika!inaotuhusu moja kwa moja ndo kama hivi
 
Cheki TIBA kaka yangu mwenzio siasa ilivyonichosha unanishauri niendelee nayo?

6451d1257338742-inawezekana-ikawa-kweli-choka-mbaya.jpg

Kwa siku ya pili mfululizo mpwa umenifanya watu wanione kreze hapa kwa ofisi. Kicheko kama cha fisi! Nimecheka mbaya! Hahaha! You have made my day pal! Ntakunywa serengeti tatu kwa afya yako.
 
Cheki TIBA kaka yangu mwenzio siasa ilivyonichosha unanishauri niendelee nayo?

6451d1257338742-inawezekana-ikawa-kweli-choka-mbaya.jpg

Mpwa hujabadili smile yako, nimependa wave na hako kastaili kanako ning'inia mdomoni.
 
Mpwa hujabadili smile yako, nimependa wave na hako kastaili kanako ning'inia mdomoni.


Ni siasa za nchi hii zimenifikisha hapa natafuta ya Baba yangu kutoka Marangu Moshi tulipiga wakati tunafanya mazoezi sinza kwa mtogore nikipta nitaiweka umeshamfahamu?
 
Ni siasa za nchi hii zimenifikisha hapa natafuta ya Baba yangu kutoka Marangu Moshi tulipiga wakati tunafanya mazoezi sinza kwa mtogore nikipta nitaiweka umeshamfahamu?

Hivi huwa ni sinza kwa mtogore au Tandale kwa mtogole ah
 
Ni siasa za nchi hii zimenifikisha hapa natafuta ya Baba yangu kutoka Marangu Moshi tulipiga wakati tunafanya mazoezi sinza kwa mtogore nikipta nitaiweka umeshamfahamu?

Fanya jitihada uiweke hapa huyo Tibaigana ajue kwanini siHaSa za bongo hazina deal.
 
Tuendeleeni kushabikia SI HASA lakini tujue SI HASA hazitushangilii.
Tuendelee kupanua midomo yetu kama huyu bwana pichani ila tuchunge wadudu wasiingie ndani. Hakika uchaguzi umewadia.
6452d1257339739-inawezekana-ikawa-kweli-picture15.jpg
 

Attachments

  • Picture15.jpg
    Picture15.jpg
    27.1 KB · Views: 56
Huyo mtoa mada yuko makini kweli? Kuna majukwaa mangapi hadi mafisadi wailenge jf? Inahuzunisha kuwa na mawazo kama hayo
 
we sema tu bwana kila mtu ana haki ya kusikilizwa
ila mada yako umekosea jinsi ya kuiwasilisaha
natanguliza shukrani

Firstlady1,

Asante kwa kugundua makosa yangu. Hebu nisaidie, nilipashwa kuiwasilisha vipi? Msaada tafadhali.

Tiba
 
Fikra yako ni potofu pale unaposema kunaweza kuwa na mkono wa mafisadi kustawisha jukwaa la mahusiano ili watu wawe distracted, c'mon Tiba, what makes you think sisi tunaochangia kule tumetumwa na mafisadi, afta all nini kinakufanya uanze tu kutoa accusations bila ushahidi halafu eti unataka sisi ndo tukupe data au kukwambia kama kweli au si kweli?

Mkuu, huo ndio ukweli niliouona mimi kwamba kwa sasa watu wanatumia muda mwingi sana kuchangia mada za mapenzi kuliko mambo yenye manufaa kwa kizazi cha sasa na kijacho cha Tanzania yetu!!!! Na nikafikiri labda kuna mkono wa mtu. Ni fikira tu!!
 
Kama utatuzi wa matatizo wa hili taifa ungeendana na uwezo wa baadhi ya wasomi na wasio wasomi wa kitanzania wa kulalamika lalamika hili taifa lingekuwa kama mataifa tajiri ya dunia ya kwanza-NGULI 2009


Mkuu Nguli,

Nimekupata vizuri. Huo ndio ukweli lakini ukisikia mtu analalamika hiyo ni dalili kwamba kuna mahali mambo hayendi sawa.

Tiba
 
mkuu nguli,

nimekupata vizuri. Huo ndio ukweli lakini ukisikia mtu analalamika hiyo ni dalili kwamba kuna mahali mambo hayendi sawa.

Tiba

atoe solution sio kulalamika lalamika, hata hao kwenye sihasa wanalalamika hawatoi solution ya matatizo kwa mfano tu india walikosa mkate siku 1 watu wote wakalala njiani je wewe na wenzio mnaoongea point /sihasa je mmefanya nini?
 
Mkuu Tiba heshima mbele sana,

Niseme tu kwamba kwanza hii hoja yako imenishangaza, I mean where is diversity in JF? kwa nini kuna majukwaa tofauti tofauti? ungependa wote wachangie siasa?

Pili, hadi leo hii jukwaaa ka siasa lina posts zaidi ya 220,000, huku jukwaa la mahusiano na mapenzi likiwa na posts 36,000 hivi, je huo wingi unaozungumzia uko wapi? Huo uchunguzi mkuu uliufanyia forum hii hii ama nyingine?




mkuu labda tukumbushane karibu serikali nzima ilijiuzulu mwezi wa pili mwaka jana (2008), ungesema hapo kulikuwa na mijadala mizito nitakuelewa. Hoja ya EPA na Richmond au kagoda na wadogo zake si za mwaka huu wala mwaka jana ni za muda mrefu na zimejadiliwa hapa kwa mapana na marefu. Ni kitu gani cha ajabu kimetokea 6 months ago kiasi cha mafisadi kutuma watu wao huku kudivert mada?




mkuu hapa utakuwa unawapa mods kazi bila sababu, wenyewe wana kazi nzito kuhakikisha tupo hewani.

Mwenyewe kwa nini usicheki tu ukaja hapa na data kila kitu si kipo hewani ?

Otherwise, with all due respect, hii hoja siwezi kusema kama ina ukeli au haina, naiona totally irrelevant na isiyotegemewa kutoka kwa mtu wa kiwango chako.

respect.

bravo
 
Mkuu Tiba heshima mbele, hapo kwenye bold nachukulia kama insult kwangu binafsi na wengine kwa sababu unajaribu kuifanya hoja yako ionekane ina umuhimu kimyume na mawazo ya wengi hapa...I find that absolutely ridiculous

Pili, bado sijasema kuwa usiseme unachofikiria kuwa ni sahihi, nimeshangazwa na kile unachokifiria ni sahihi!

Tiba hebu tuambie sasa, maana naona unakwepa tu hapa, ni kwa jinsi gani jukwaa la mahusiano limeovertake jukwaa la siasa?

respect

Mkuu,

Niliposema "wako wengi" hiyo ni relative term ambayo yeyote anaweza kuichukulia apendavyo. Sijui kwa upande wako umeichukuliaje!! Kwa kweli I did not intend to offend anybody.

Mkuu, ukisoma post yangu tena nimeeleza kwamba kwa maoni yangu post za mapenzi kwa sasa zimekuwa nyingi zaidi ya zile zinazohusu mustakabali wa nchi yetu!!!. Na nikajaribu kumtafuta mchawi kwa nini hali imekuwa hivyo? Nikatoa jibu linalofikiria mimi kwamba ndio sahihi. Ni wajibu wako kupingana na kile nilichokifiria mimi.

Tiba
 
Yaleyale mtu anaanzisha thread afu anaikimbia anawaacha wapwa wanadiskasi mambo ya malovee na maulabu kwa kwenda mbele. Wapwa bwana! You owe me some few crates of beer and three bottles of banta! Bila kusahau maji makubwa ya kilimanjaro matatu!

Mkuu sijaikimbia hoja, nilikuwa nambadilisha mtoto nepi, nimerudi ulingoni!!!

Tiba
 
Mkuu,

Niliposema "wako wengi" hiyo ni relative term ambayo yeyote anaweza kuichukulia apendavyo. Sijui kwa upande wako umeichukuliaje!! Kwa kweli I did not intend to offend anybody.

Mkuu, ukisoma post yangu tena nimeeleza kwamba kwa maoni yangu post za mapenzi kwa sasa zimekuwa nyingi zaidi ya zile zinazohusu mustakabali wa nchi yetu!!!. Na nikajaribu kumtafuta mchawi kwa nini hali imekuwa hivyo? Nikatoa jibu linalofikiria mimi kwamba ndio sahihi. Ni wajibu wako kupingana na kile nilichokifiria mimi.

Tiba

Mkuu Tiba.

Tuachane na rhetoric. Mstakabali wa nchi hii unayosema ni yetu ni upi?
 
Back
Top Bottom