Ndo maana kuna majukwaa:SIASA,mahusiano,michezo na mengineyoNimefuatilia kwa karibu posting zinazofanyika kwa siku za hivi karibuni nyingi na kugundua kwamba nyingi zinahusu mahusiano na mambo ya mapenzi ukilinganisha zile zinazohusu mijadala juu ya mustakabali wa nchi kuhusu rushwa, matumizi mabaya ya madaraka, uhujumu uchumi, EPA na mafisadi wake na siasa za nchi yetu kwa ujumla.
Nikiangalia kwa karibu kulikuwa na wimbi la watu kujiunga na JF some 6 months ago ambapo mijadala juu ya ufisadi ilikuwa imepamba moto na ninajikuta nalazimika kufikiria kwamba kulikuwa na msukumo fulani kutoka kwa mafisadi kuingiza "watu wao" kwa wingi hapa JF na kupost issues za mahusiano ili kupindisha attention ya watu kutoka kwenye kupigia kelele ufisadi na badala yake tuzame kwenye kujadili mambo yanayohusu mahusiano na mapenzi.
Ikibidi Mods watupe data za aina za posting kwa siku za karibuni (at least for the past 6 months) ili tupime ukweli wa fikira zangu.
Mnalionaje wazo hili, je lina ukweli wowote?
mambo ya chui!hehehehehe!safari ijayo tuna mwanachama mpya kabisa kaizer!mutu-ya-taska!πSerengeti Serengetiiiii
Serengeti Serengetiiiii
Serengeti Serengetiiiii
say it like it is, KAWASHA MOTO AMBAO HAWEZI KUUZIMA?huyu mimi nilishamsoma kupitia bwa-shee na wakati anapost.kwa kifupi sana ''yupo kazini''!
ANGALIZO KWA MRUSHA MADA:Nakupa pole sana mrusha mada kwasababu umeingilia kwenye mlango wa kutokea!
Mkuu asante kwa mchango wako. Je tutaupiga vita ufisadi kwa kutumia muda wetu kuchangia hoja za mapenzi? Au inawezekana sijakuelewa mkuu!!!
Tiba
usichanganye baina ya ngono (au 'penzi' in commercialized language) na upendo. hivi vitu sio interchangeable.wgho cares if i die with love inside me? if i die rich with so many castles and without love, am nothing.
usichanganye baina ya ngono (au 'penzi' in commercialized language) na upendo. hivi vitu sio interchangeable.
mambo ya chui!hehehehehe!safari ijayo tuna mwanachama mpya kabisa kaizer!mutu-ya-taska!π
you can say it again!say it like it is, KAWASHA MOTO AMBAO HAWEZI KUUZIMA?
mambo ya chui!hehehehehe!safari ijayo tuna mwanachama mpya kabisa kaizer!mutu-ya-taska!π
Nyamayao ? who? na anaingiaje kwenye hii argument?Go and read Nyamayao's signature.....just to keep you abreast am she
you can say it again!
familia inakuwa!umemsoma kaizer, hehehe naona familia ya wapwa inakoelekea ni kuvunja kabisa majukwaa mengine, invisibo ugonge vile vitufe kwenye kila posti ya mpwa kuonesha umetukubali.
Yaleyale mtu anaanzisha thread afu anaikimbia anawaacha wapwa wanadiskasi mambo ya malovee na maulabu kwa kwenda mbele. Wapwa bwana! You owe me some few crates of beer and three bottles of banta! Bila kusahau maji makubwa ya kilimanjaro matatu![/QUOTE]
Angalizo kwenye red te te te te he.
Bila kusahau mdudu kwa ajili ya YO YO.
Hivi mtoa mada ni she/he?
Yaleyale mtu anaanzisha thread afu anaikimbia anawaacha wapwa wanadiskasi mambo ya malovee na maulabu kwa kwenda mbele. Wapwa bwana! You owe me some few crates of beer and three bottles of banta! Bila kusahau maji makubwa ya kilimanjaro matatu!
Am out jamani, until tommorow, its goodbye from carmel!
Go and read Nyamayao's signature.....just to keep you abreast am she
Am out jamani, until tommorow, its goodbye from carmel!
hizi ndo zetu mpwa!Yaleyale mtu anaanzisha thread afu anaikimbia anawaacha wapwa wanadiskasi mambo ya malovee na maulabu kwa kwenda mbele. Wapwa bwana! You owe me some few crates of beer and three bottles of banta! Bila kusahau maji makubwa ya kilimanjaro matatu!
hizi ndo zetu mpwa!
ni ishu ambazo hazina tension wala haziiitaji brainstorming!ni swala la kupanda daladala,unabeba ka twenty kako,na kabahasha umeweka siivi ndani unakutana na wapwa mnabadilishana siivi MNALEWA!mnaagiza makange mnakula jioni unavizia tena kadala dala huyooooooooooooooooooooooooo!mpaka tandikaπ
uzuri wake hamna anae kufuatilia kwasababu:
ROSTAMU HAUSIKI
PATELI HAUSIKI
MANJI HAUSIKI
JEIKEI HAUSIKI
AIPITIELO HAIUSIKI!
unaona bwana!π