Mkuu,
Nakushuru kwa ushauri. Lakini je kuna ukweli kwamba masuala ya mapenzi kwa sasa yako juu kuliko issues zinazogusa mustakabali wa taifa hili?
Tiba
Hawakukosea wahenga walonena penzi kitovu cha uzembe.
na ndio maana we are doomed to live & die poor
Mkuu,
1. Najua hauko peke yako wapo wengi ambayo hawawezi kuona umuhimu wa hii observation yangu. Lakini kama kuna ukweli, utabaki pale pale.
2. Sikujua kwamba kwa kuwa niliwahi kuchangia JF basi sipashwi kusema kile ninachokifiria kuwa ni sahihi.
Tiba.
na ndio maana we are doomed to live & die poor
Mwanamke / Mwanaume rijali lazima azungumzie, ayatende na ayapende mapenzi. Ukiona mtu anayakwepa ujue kuna matatizo kwenye mfumo wake wa kibaiolojia wa mapenzi au ameharibiwa mtindio wa ubongo unaoleta hisia za kimapenzi. Na hakuna kinachoharibu mifumo hiyo miwili zaidi ya SIASA. I hate politics from the botoom of my heart. Wapwa na mabinamu turudi nyumbani kwenye jukwaa letu, tunapoteza muda hapa. Tutaambukizwa virusi vya siasa. I am warning you!
I better live and die poor with someone I love.
Mwanamke / Mwanaume rijali lazima azungumzie, ayatende na ayapende mapenzi. Ukiona mtu anayakwepa ujue kuna matatizo kwenye mfumo wake wa kibaiolojia wa mapenzi au ameharibiwa mtindio wa ubongo unaoleta hisia za kimapenzi. Na hakuna kinachoharibu mifumo hiyo miwili zaidi ya SIASA. I hate politics from the botoom of my heart. Wapwa na mabinamu turudi nyumbani kwenye jukwaa letu, tunapoteza muda hapa. Tutaambukizwa virusi vya siasa. I am warning you!
SWADAKTA SWADAKTA SWADAKTA!Thanks! Thanks! Me too.
Politics can never buy me.....am worth million times than that.
Tiba hebu tuambie sasa, maana naona unakwepa tu hapa, ni kwa jinsi gani jukwaa la mahusiano limeovertake jukwaa la siasa?
respect
YOU CAN SAY IT AGAIN SHEMEJI!I better live and die poor with someone I love.
swadakta swadakta swadakta!
Unatumia bia gani nguli?!!!!!
Muhudumuuuuuuuuuuu!konyagi ya baridi kwa bradha pale tafadhali:d
YOU CAN SAY IT AGAIN SHEMEJI!
muhudumuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu?!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!MAJI TA KILIMANJARO YA MOTO MAKUBWA KWA SHEMEJI YANGU HAPA TAFADHALIπ
na ndio maana we are doomed to live & die poor
YOU CAN SAY IT AGAIN SHEMEJI!
muhudumuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu?!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!MAJI TA KILIMANJARO YA MOTO MAKUBWA KWA SHEMEJI YANGU HAPA TAFADHALIπ
Serengeti Serengetiiiii
Serengeti Serengetiiiii
Serengeti Serengetiiiii
hahah mpwa stuka! mwenzio ZD keshambadilisha hiyo anaondoka serengeti bariidi!
weita..chupa nyingine bwana kwa Xpin! hehehehe
huyu mimi nilishamsoma kupitia bwa-shee na wakati anapost.kwa kifupi sana ''yupo kazini''!kilimanjaro lager!
Nahisi kitu mkuu rejea mazungumzo yetu ya jana jioni. Iam smelling s/thing fish
hahahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaAbdulhalim kila nikiangalia picha yako nahisi kukuogopa sijui kwa nini
Nisamehe sana kwa hili
mchana mwema π