Inawezekana Hillary Clinton ni mgonjwa kweli

Kaanza leo tu kwa hiyo si big deal.

She's as healthy as a fiddle.

Hillary-Clinton-Helped-Up-Steps.jpg



Daaaah....
Huyu urais hapana...
Kafika stage ya kurest
 
Hapo uncle Joe Biden anajuta ni kwa nini hakutaka kugombea!

I like him a lot.

Though he's kinda nutty but he's so much better than Hillary and Donald.

The year of the race to the bottom!

Both major candidates are sick in their own way.

The Libertarian one seems to be out of it as well.

"What is Aleppo?":D
 
Sipo upande wowote ule mwaka huu.

Wote Hillary na Donald ni wabovu tu.

Hakuna mmoja wao anayestahili.

Na wala sijawa negative.

Kilichomtokea leo ni kitu cha ukweli.

Hakuna uzushi wala chumvi iliyotiwa hapo.

The woman is unwell.
Well said .....America has no one right at this time......Let's keep watch
 
I like him a lot.

Though he's kinda nutty but he's so much better than Hillary and Donald.

The year of the race to the bottom!

Both major candidates are sick in their own way.

The Libertarian one seems to be out of it as well.

"What is Aleppo?":D
Nilikuwa nasoma article ya NYT jana, huyu jamaa wa Libertarians alishawahi kuuliza back in June "Who is Harriet Tubman?".

http://www.nytimes.com/2016/09/09/us/politics/gary-johnson-aleppo.html

Thursday was not the first time that Mr. Johnson has faced such a situation. After speaking at a Politico convention in June, he was being directed to a room that was named after Harriet Tubman, the former slave and abolitionist. According to a report in The New Yorker, Mr. Johnson asked, “Who’s Harriet Tubman?”

Jamaa huwa anakiwasha (alikuwa pia ana manage kampuni ya kuuuza msuba), labda hana kichwa cha mibange kama alivyoimba Juma Nature.

Hiyo mibangeee..
 
Mwaka wa 2015 nilikua naskia Wabongo wakisema "kama mgonjwa akafie ikulu", hivyo hata huyu mama, mbele kwa mbele apewe tu kura maana hamna namna, kauli za Trump zinatisha jamani.
 
Mwaka wa 2015 nilikua naskia Wabongo wakisema "kama mgonjwa akafie ikulu", hivyo hata huyu mama, mbele kwa mbele apewe tu kura maana hamna namna, kauli za Trump zinatisha jamani.

Rais wa Marekani ni kiongozi wa dunia.

Huyu mama ni mgonjwa.

Ataweza kweli kukabiliana na mikikimikiki ya Kim Jong Un huyo?

Urais wa Marekani unazeesha haraka mno.

Sasa bibi wa miaka karibu 70 anahangaika nao wa nini?

Ana wajukuu wawili sasa ni bora angejikalia zake nyumbani acheze nao play-doh:D
 
Back
Top Bottom