Mimi ni mwalimu na nina familia lakini maisha nayoishi kwa sasa ni heri ya mwanafunzi ila naamini Mungu yupo atanipigania.
Matatizo huja pale unapolemewa kuyatatua unawaza na unajikuta unaingia katika mikopo ambayo huipendi wala hukutarajia mwisho wa siku inakuwa ni mwiba, tena mwiba hasa.
Na huwa sijua hawa watu wanapigaje hesabu, yaani mkopo wa milioni 3 inafika milioni 9 looh.
Tupo kazini lakini hatuna furaha
Kwa wale wanaojua kusoma saraly slip

.
Matatizo huja pale unapolemewa kuyatatua unawaza na unajikuta unaingia katika mikopo ambayo huipendi wala hukutarajia mwisho wa siku inakuwa ni mwiba, tena mwiba hasa.
Na huwa sijua hawa watu wanapigaje hesabu, yaani mkopo wa milioni 3 inafika milioni 9 looh.
Tupo kazini lakini hatuna furaha

Kwa wale wanaojua kusoma saraly slip


.


