Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 20,692
- 71,586
kumbe kule kutusifia na viapo vya kutusaliti hua mnatung'ong'a tu mkuu?
Mkuu,unajua maana ya trust nobody?
Kwenye hii dunia sio kwamba wanawake tu ndio wanachepuka ama kuvunja ahadi,hata wanaume wengi tu ni heart breakers,so usiact as if nyie wote ni watakatifu!!