Inauma Sana!

Inauma Sana!

Quinine Mwitu

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2014
Posts
5,530
Reaction score
6,119
Kuna dogo mmoja namfaham brother yake ni rafiki yangu sana,kuna kipindi huyu rafiki yangu akiwa porini kufanyakaz kama hotelia huyu dogo nilibaki nae ghetto,dogo alikua anasoma kwa shida sana,ila dogo alikuwa anajitahid sana kimasomo,alikuwa anasema kua IPO siku maisha yake yatabadilika kupitia elimu,alisoma shule moja Arusha inaitwa kimandolu,Mungu Alimsaidia O level alifaulu vizur akaenda karatu boys,mwaka huu kapata division 1 na kupata chuo UDSM kitivo cha elimu,dogo Jana kanipigia,amekata tamaa sana ni baada ya kugundua kuwa hatapata mkopo baada ya serikal kusema kuwa kama ulisoma private school hutapata mkopo ,ameongea kwa uchungu sana,akasema bro serikali hii naona imenipotezea ramani kabisa kimaisha....daa we acha tu bro! Mbona kila kitu nimefanya poa? Mbaya zaid anadai hakuna protocol yoyote inayozingatiwa bado kuna upendeleo maana kama kigezo ni kuwapa waliosoma shule za kata mbona kuna rafiki yake A level na O level kasoma shule za private na kapiga 100%,Serikali iwe makini katika kulitekeleza suala hili hawa madogo wanapoteza tumaini lao hivhivi,
 
huku mtaani kwetu Mbezi Kimara jamaa kabeti Jana ameweka elfu 5 ..Leo asubuh ameamka anacheka amekula million 6 yaan nasikia hasira ....maisha hayana Fair aisee
 
Kuna dogo mmoja namfaham brother yake ni rafiki yangu sana,kuna kipindi huyu rafiki yangu akiwa porini kufanyakaz kama hotelia huyu dogo nilibaki nae ghetto,dogo alikua anasoma kwa shida sana,ila dogo alikuwa anajitahid sana kimasomo,alikuwa anasema kua IPO siku maisha yake yatabadilika kupitia elimu,alisoma shule moja Arusha inaitwa kimandolu,Mungu Alimsaidia O level alifaulu vizur akaenda karatu boys,mwaka huu kapata division 1 na kupata chuo UDSM kitivo cha elimu,dogo Jana kanipigia,amekata tamaa sana ni baada ya kugundua kuwa hatapata mkopo baada ya serikal kusema kuwa kama ulisoma private school hutapata mkopo ,ameongea kwa uchungu sana,akasema bro serikali hii naona imenipotezea ramani kabisa kimaisha....daa we acha tu bro! Mbona kila kitu nimefanya poa? Mbaya zaid anadai hakuna protocol yoyote inayozingatiwa bado kuna upendeleo maana kama kigezo ni kuwapa waliosoma shule za kata mbona kuna rafiki yake A level na O level kasoma shule za private na kapiga 100%,Serikali iwe makini katika kulitekeleza suala hili hawa madogo wanapoteza tumaini lao hivhivi,

Ki ufupi hali ni mbaya
 
People wont comment when it matters, sijui kwanini!! As for me, I share his grief. Mwambie the hata apoteze vyote, hope is the last thing to lose. So hold on, when the going gets tough the tough get going.
 
Back
Top Bottom