demu wangu alipokuwa ananiacha aliniambia eti nina sura mbaya ndo mana ananiacha!vp we mwanaume mwenzangu ulivyoachwa demu wako alisema anakuacha kwa sababu gan??
demu wangu alipokuwa ananiacha aliniambia eti nina sura mbaya ndo mana ananiacha!vp we mwanaume mwenzangu ulivyoachwa demu wako alisema anakuacha kwa sababu gan??
demu wangu alipokuwa ananiacha aliniambia eti nina sura mbaya ndo mana ananiacha!vp we mwanaume mwenzangu ulivyoachwa demu wako alisema anakuacha kwa sababu gan??
Mi demu nikishamtafuna hata nambie nini wala huwa siangalii mara 2. Nabaki napiga mluzi tu huku nikitingisha mguu kwa mbaliiiiii wakati yeye anatoa povu lake anavyoondoka.
Kwani we na mwenzio mna umri gani?
wenzenu wanaoana na walemavu wa miguu au wasio na uwezo wa kuona
nyinyi bado mpo kwenye sura ?
umri wenu?
Demu wangu alipokuwa ananiacha aliniambia eti nina sura mbaya ndo mana ananiacha. Vipi we mwanaume mwenzangu ulivyoachwa demu wako alisema anakuacha kwa sababu gan?