Inauma sana, asikwambie mtu

Inauma sana, asikwambie mtu

siku hizi nilifikiri mnaachwa kwa sababu ya kibamia na kukosa mkwanja. kumbe mpaka sura bado ipo
 
Demu wangu alipokuwa ananiacha aliniambia eti nina sura mbaya ndo mana ananiacha. Vipi we mwanaume mwenzangu ulivyoachwa demu wako alisema anakuacha kwa sababu gan?

Hahaha nimesmile kidogo. Sura mbaya ndo ikoje cantonna? Unaweza weka picha yako hapa?

weka picha #team picha tufaidi

blaza unaomba kapicha....?

1545977_702413496438477_40929746_n.jpg
 
hakuna binadamu mwenye sura mbaya hizo ni mbinu za kukufanya ujisikie vibaya tu
 
Niliulizwa tu kwamba unanidai, nikajibu hapana, tumegombana, hapana. Nikaambiwa kama KITU ni hapana kuanzia leo mm na ww basss. Nimempata mwingine wa size yangu cwezi kuwa na ww anymore kwaheri.
Kikubwa ilikuwa ni kipato tu ndo kilinitenganisha nae but wazungu waliposema time will tel hawakukosea kuna cku nilikutana nae ckuamini na yy hakuamini macho yake zaidi ya kulia kwa uchungu
Ckuwa na jinsi nilipaki gari pembeni nikamsihi asilie na nilipomuuliza kama ananidai alinijibu tu kwamba anatamani ardhi ipasuke kwa yaliyomkuta kwa yule mwanaume wake kwa jinsi alivyomtenda.
Ni story ndefu ila mwisho nilimwambia nimekwishaoa nina mke mzuri, msomi na watoto wawili.

noma sanaa,ama kweli,majuto mjukuu,me mwenyewe kwa kweli hata nikiachana na mtu sipendi kumdiss kumpotezea mwelekeo,unaweza kimbia ukimuona in the futuree etii
 
Last edited by a moderator:
haaaa haaaa huyo atakuwa form two A. wanaachwaga wale apeche alolo abachada.
Mkubwa, huo ndio ukweli, mwanaume mbaya asiye na pesa! Hivi kweli mi pesa yangu inazungumza kuna atakayeona sura yangu?
 
Alisha kuchoka na hadith zako za Abunuasi, hakieleweki kaona isiwe tabu.....
 
Binafsi sijawahi kuachwa kwa kipindi chote nilipokuwa sijaoa ila mie ndo nilikuwa napiga vibuti. Tena wengine kimya kimya tu bila hata taarifa, mtu anaachwa lakini anakuwa kama hajaachwa. Stori kama kawa lakini haaombwi mechi ng'oooooooo!!!!
 
Niliulizwa tu kwamba unanidai, nikajibu hapana, tumegombana, hapana. Nikaambiwa kama KITU ni hapana kuanzia leo mm na ww basss. Nimempata mwingine wa size yangu cwezi kuwa na ww anymore kwaheri.
Kikubwa ilikuwa ni kipato tu ndo kilinitenganisha nae but wazungu waliposema time will tel hawakukosea kuna cku nilikutana nae ckuamini na yy hakuamini macho yake zaidi ya kulia kwa uchungu
Ckuwa na jinsi nilipaki gari pembeni nikamsihi asilie na nilipomuuliza kama ananidai alinijibu tu kwamba anatamani ardhi ipasuke kwa yaliyomkuta kwa yule mwanaume wake kwa jinsi alivyomtenda.
Ni story ndefu ila mwisho nilimwambia nimekwishaoa nina mke mzuri, msomi na watoto wawili.

Kitabu chako cha stor utakileta sokon lin mkuuu,naona kipaji cha utunz kimesimama vyema
 
Last edited by a moderator:
Demu wangu alipokuwa ananiacha aliniambia eti nina sura mbaya ndo mana ananiacha. Vipi we mwanaume mwenzangu ulivyoachwa demu wako alisema anakuacha kwa sababu gan?

Mi alisema nampa doz kubwa sana ntamuua bure... but anataman kukumbushia kila wiki...
 
Demu wangu alipokuwa ananiacha aliniambia eti nina sura mbaya ndo mana ananiacha. Vipi we mwanaume mwenzangu ulivyoachwa demu wako alisema anakuacha kwa sababu gan?

Sasa kama una sura kama mamba ulitaka asiseme?
 
nashangaa! kama sura mbaya ndio ingekuwa kuachwa wasira asingekuwa dili.
Mkubwa, huo ndio ukweli,
mwanaume mbaya asiye na pesa! Hivi kweli mi pesa yangu inazungumza kuna
atakayeona sura yangu?
 
Binafsi sijawahi kuachwa kwa kipindi chote nilipokuwa sijaoa ila mie ndo nilikuwa napiga vibuti. Tena wengine kimya kimya tu bila hata taarifa, mtu anaachwa lakini anakuwa kama hajaachwa. Stori kama kawa lakini haaombwi mechi ng'oooooooo!!!!

Habari ya mujiniiii
 
Back
Top Bottom