Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,413
- 36,573
Tulia wewe kama unanyolewa na kiwembe.....kila mtu na ashinde mechi zakeBongo Yetu: wakati Mwadui, Ruvu Shooting na Stendi wamebakiza mechi 10 tu kumaliza msimu Simba SC imebakiza mechi 21!!!!
Angekuwa Yanga ndo anaviporo ivyo,Hajji angekuwa anaongea zaidi ya Kasuku,ila saiz kimyaa kabisa na utasikia baadhi ya malimbukeni wanasema sisi ni Watu wa mpira.
Bongo tunasafari ndefu sana
Ashinde wakati wengine mechi zimeisha? Anyway Siwezi shangaa cos wengi wenu ni mbumbumbuTulia wewe kama unanyolewa na kiwembe.....kila mtu na ashinde mechi zake
Sent using Jamii Forums mobile app
#KilaMtuNaAshindeMechiZake tunatembelea hashtag hii hatuhitaji maneno mengi na malumbano na VyuraAshinde wakati wengine mechi zimeisha? Anyway Siwezi shangaa cos wengi wenu ni mbumbumbu
Ndo Bongo lala mkuuWrite your reply...mwanzo nilijua ni bahati mbaya. watarekebisha Kumbe!. ina maana simba ana viporo kama tisa na ushee?? kisa?? anacheza caf!. Man city Licha ya utitiri wa mechi alizocheza msimu huu kuanzia carabao fa Cup. UEFA pia ila yeye na mpinzani wake wa karibu Liverpool ambaye yuko UEFA tuu wote wana mechi sawa! achilia mbali timu zote epl wana mechi sawa!.
tumeyataka wenyewe. kupanga ni kuchagua!!
Yanga mchechetoBongo Yetu: wakati Mwadui, Ruvu Shooting na Stendi wamebakiza mechi 10 tu kumaliza msimu Simba SC imebakiza mechi 21!!!!
Angekuwa Yanga ndo anaviporo ivyo,Hajji angekuwa anaongea zaidi ya Kasuku,ila saiz kimyaa kabisa na utasikia baadhi ya malimbukeni wanasema sisi ni Watu wa mpira.
Bongo tunasafari ndefu sana
Samahan mkuu uliona ligi gani timu moja ikacheza nymbn tu mechi 11 na kwavile mlikuwa mnashinda hamkuja humu kulalamika kuwa kwa.nini tupangiwe nymbn.tu mmeona sasa jahazi.lenda mrama wewe na kocha wako hamuishi.kulalamaBongo Yetu: wakati Mwadui, Ruvu Shooting na Stendi wamebakiza mechi 10 tu kumaliza msimu Simba SC imebakiza mechi 21!!!!
Angekuwa Yanga ndo anaviporo ivyo,Hajji angekuwa anaongea zaidi ya Kasuku,ila saiz kimyaa kabisa na utasikia baadhi ya malimbukeni wanasema sisi ni Watu wa mpira.
Bongo tunasafari ndefu sana
Man City kacheza mechi moja zaidi kuliko timu 18 nyingine.Write your reply...mwanzo nilijua ni bahati mbaya. watarekebisha Kumbe!. ina maana simba ana viporo kama tisa na ushee?? kisa?? anacheza caf!. Man city Licha ya utitiri wa mechi alizocheza msimu huu kuanzia carabao fa Cup. UEFA pia ila yeye na mpinzani wake wa karibu Liverpool ambaye yuko UEFA tuu wote wana mechi sawa! achilia mbali timu zote epl wana mechi sawa!.
tumeyataka wenyewe. kupanga ni kuchagua!!
Nyie mmecheza mechi ngapi nje ya dar?Samahan mkuu uliona ligi gani timu moja ikacheza nymbn tu mechi 11 na kwavile mlikuwa mnashinda hamkuja humu kulalamika kuwa kwa.nini tupangiwe nymbn.tu mmeona sasa jahazi.lenda mrama wewe na kocha wako hamuishi.kulalama
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali halijibiwi kwa swali mkuu uliona wspi timu ikacheza nymbn mfulilizo mechi.11 km co kuisaidia yanga