marigy
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 341
- 402
- Thread starter
- #21
Mkuu sijafanya research indeed.. Lkn kutafuta huku kuna advantage moja tu kubwa.. Nayo ni kumpata mtu ambaye yupo tayari kabisa... Ko mkielewana vzr nadhan ndo hiyo serious nayoisema coz wote mlikuwa mnahitaji.... Dat y mtu hatujuan lkn bado inaonesha mwitikio ko userious lzm utakuwepo tu, mathalan chuon naona huku itatakiwa uwe na hela kulinda penzi japo simanishi huku kwingin hazihusik ila kilichowaunganisha haiwi pesa and the likes.....Huko chuoni wote hawako serious?