Seif al Islam
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 2,156
- 640
Akihojiwa juzi kuhusu uwezekano wa viongozi wakuu wa chadema hususani mbowe na slaa kuitwa na kuhiojiwa na polisi kuhusu sakata la Lwakatare, kamanda Kova alinukuliwa akisema, "timu ile ya watu 12 iliyoundwa kwa ajili ya uchunguzi wa sakata la mwenyekiti wa jukwaa la wahariri, Absalom Kibanda, ndiyo inahusika katika matukio yote ya ugaidi, ikiwemo kutekwa kwa watu mbalimbali na kutishiwa waandishi wa habari, hivyo watakuja na majibu yao kuhusiana na kile watakachobaini," alisema kamanda Kova.
Hapa Kova anajaribu kwa kujua au kutokujua kuwadanganya Watanzania kuwa matukio ya kukamatwa na kuteswa waandishi na watu wengine kama Dr Ulimboka ni ya kigaidi na kusahau kuwa yule Mkenya wake aliyemkamatwa kwa msaada wa kanisa(japo lilikanusha baadae) ameshtakiwa kwa kosa jingine la kuteka, na kutesa na sio kosa la kigaidi kama anavyokaribu kuueleza umma.kova amka.
Tuna kumbukumbu kubwa na hatusahau kama wewe. Ukitaka kudanganya unapaswa kuwa na kumbukumbu kubwa kuliko yule unayemdanganya.
Hapa Kova anajaribu kwa kujua au kutokujua kuwadanganya Watanzania kuwa matukio ya kukamatwa na kuteswa waandishi na watu wengine kama Dr Ulimboka ni ya kigaidi na kusahau kuwa yule Mkenya wake aliyemkamatwa kwa msaada wa kanisa(japo lilikanusha baadae) ameshtakiwa kwa kosa jingine la kuteka, na kutesa na sio kosa la kigaidi kama anavyokaribu kuueleza umma.kova amka.
Tuna kumbukumbu kubwa na hatusahau kama wewe. Ukitaka kudanganya unapaswa kuwa na kumbukumbu kubwa kuliko yule unayemdanganya.