ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
Kocha wa Magolikipa SSC na mwanasoka mstaafu aliyehudumu kama golikipa wa timu kadhaa hapa nchini James Kisaka anahitaji msaada. Nimeona kwenye STAR TV anasumbuliwa na macho hawezi kuona anaeleza kuwa anasumbuliwa na fangasi ya mishipa ya kichwa..wadau wa soka hasa wapenzi wa Simba tumsaidie nwenzetu..hali si njema kwake.