Mbona ni kama haituhusu sana sisi wa huku vijijini? au mnasahau au mnajifanya hamjui kwamba Sisi huku mara nyingi tunakulaga vyakula kama mnafu,makukuru,ugali(dona) ndizi za kuchemsha,maziwa mgando, mgagani, majumbao, ndulele changa, tembele, mbwembwe(mashonanguo) na maji ya visimani?, Pombe zetu ni Taputapu, kangara, komoni, ufuge n.k. Mambo ya juisi,mayai, cjui nini na nini tunavipata cku tukijawasalimia huko mjini. Kwa hiyo sisi mnatuambiaje kwa mfano.