Nikipanda nachelewa kuchuka! Hadi dem wangu anadai kuwa sim-feel ndo maana sishuki mapema. Na bado nikishuka ngoma inaendelea kudai tena. Nikiongea na marafiki zangu wanasema wao eti dak 5 ni nyingi; wakati mi huwa naenda hadi 20 au 30 min ndani ya game.
Sijawahi kutumia dawa za kuongeza nguvu; kinywaji changu ni Guines the Power + CocaCola.
sihusiki mahali hapa,ngoja nijaribu mmmh ukute unamuwaza Ashura wakati uko na Asha kitandani ndo maana,au unajilazimisha kufanya tendo wakati mwili na akili yako hujaviweka huko,au una msongo wa mawazo.
Hali hiyo ni tangu umeanza hayo mambo au ni tangu umempata huyo uliyenaye sasa? na vp tangu uwe naye ulishacheza mechi za nje? na kama ndio hali ni ilele? Majibu yako yatatoa mwanga wa tatizo.
Nikipanda nachelewa kuchuka! Hadi dem wangu anadai kuwa sim-feel ndo maana sishuki mapema. Na bado nikishuka ngoma inaendelea kudai tena. Nikiongea na marafiki zangu wanasema wao eti dak 5 ni nyingi; wakati mi huwa naenda hadi 20 au 30 min ndani ya game.
Sijawahi kutumia dawa za kuongeza nguvu; kinywaji changu ni Guines the Power + CocaCola.