Inapokuja kwenye operesheni za kijeshi, China ni "Paper Tiger" (Mbwa asiye na meno)

Inapokuja kwenye operesheni za kijeshi, China ni "Paper Tiger" (Mbwa asiye na meno)

Ozon

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2024
Posts
2,366
Reaction score
3,687
Mara ya mwisho kwa PRC kupigana vita ilikuwa mwaka 1979, na ulikuwa ni mgogoro mdogo sana kule Vietnam. China imekuwa ikijificha nyuma ya kivuli cha soft power na propaganda, lakini inapokuja kwenye operesheni za kisasa za kijeshi, kwa bahati mbaya ni "Paper Tiger" (mbwa asiye na meno). Licha ya kujimwambafai na gwaride za kijeshi, vitisho kutoka Beijing, na maonesho ya silaha na ndege za kivita, lakini hawa Wachina hatujawaona kwenye operesheni yoyote ya maana ya kivita kwa miaka ya hivi karibuni.

China haina uzoefu wa mapambano ya kisasa kama mataifa mengine kama vile Marekani, NATO (Ulaya), Iran, Israel, na mataifa mengine ya Mashariki ya Kati.

Hata baadhi ya nchi za Afrika kama vile DRC, Rwanda, Misri, Afrika Kusini, Nigeria, na Ethiopia kwa miaka ya hivi karibuni zina uzoefu mkubwa wa mapambano (military combat experience) kuliko China.

Licha ya kujisifia kuwa na mfumo Bora na tata a wa ulinzi wa anga (Air defense system), China alishindwa kumlinda hata Mkuu wa Nchi wa Venezuela alipotoweka. Wachina wameshindwa kabisa na hawana uwezo kurudisha kisiwa chao (Taiwan) ambacho kipo umbali wa kuogelea tu kutoka nchi kavu yao.

Ukweli ni kwamba Hawa wachina Uwezo wao wa kijeshi umejengwa juu ya propaganda, vitisho na maneno matupu ya vyombo vya habari lakini hawana uzoefu(experience) halisi kwenye mapambano ya kisasa ya kijeshi.
 
Huo ndio ukweli kwamba China hawajajaribiwa kwenye vita vyovyote kwa miaka mingi sasa na hii inapelekea wasijiamini na ndio maana wanasita hata kujaribu kuitwaa Taiwan waliyonayo pua na mdomo.

Majuzi tu waziri mkuu mpya wa Japan Takaichi alitoa onyo kwa China kwamba wakithubutu kuishambulia Taiwan basi watakiona chamoto.
 
Mara ya mwisho kwa PRC kupigana vita ilikuwa mwaka 1979, na ulikuwa ni mgogoro mdogo sana kule Vietnam. China imekuwa ikijificha nyuma ya kivuli cha soft power na propaganda, lakini inapokuja kwenye operesheni za kisasa za kijeshi, kwa bahati mbaya ni "Paper Tiger" (mbwa asiye na meno). Licha ya kujimwambafai na gwaride za kijeshi, vitisho kutoka Beijing, na maonesho ya silaha na ndege za kivita, lakini hawa Wachina hatujawaona kwenye operesheni yoyote ya maana ya kivita kwa miaka ya hivi karibuni.

China haina uzoefu wa mapambano ya kisasa kama mataifa mengine kama vile Marekani, NATO (Ulaya), Iran, Israel, na mataifa mengine ya Mashariki ya Kati.

Hata baadhi ya nchi za Afrika kama vile DRC, Rwanda, Misri, Afrika Kusini, Nigeria, na Ethiopia kwa miaka ya hivi karibuni zina uzoefu mkubwa wa mapambano (military combat experience) kuliko China.

Licha ya kujisifia kuwa na mfumo Bora na tata a wa ulinzi wa anga (Air defense system), China alishindwa kumlinda hata Mkuu wa Nchi wa Venezuela alipotoweka. Wachina wameshindwa kabisa na hawana uwezo kurudisha kisiwa chao (Taiwan) ambacho kipo umbali wa kuogelea tu kutoka nchi kavu yao.

Ukweli ni kwamba Hawa wachina Uwezo wao wa kijeshi umejengwa juu ya propaganda, vitisho na maneno matupu ya vyombo vya habari lakini hawana uzoefu(experience) halisi kwenye mapambano ya kisasa ya kijeshi.
China hana muda wa kupigana vita.

Yuko busy kuboresha maosha ya wananchi wake.

Ndio maana MATREIN ya kasi nchi nzima.

Hakuna Mchina analala nje.


Hakuna Mchina anakosa chakula.

Hakuna Mchina anakimbia China kwa ugumu wa maisha.
 
Huo ndio ukweli kwamba China hawajajaribiwa kwenye vita vyovyote kwa miaka mingi sasa na hii inapelekea wasijiamini na ndio maana wanasita hata kujaribu kuitwaa Taiwan waliyonayo pua na mdomo.

Majuzi tu waziri mkuu mpya wa Japan Takaichi alitoa onyo kwa China kwamba wakithubutu kuishambulia Taiwan basi watakiona chamoto.
Waoga mno, kila siku wapo busy kujaza silaha kwenye maghala lakini wanaogopa kuzitumia site.
 
Chian ahan muda wa kuoigana vita.

Yuko busy kuboresha maosha ya wananchi wake.

Ndio MATREIN ya kasi nchi nzima.

Hakuna Mchina analala nje.


Hakuna Mchina anakosa chakula.

Hakuna Mchina anakimbia China kwa ugumu wa maisha.
Ni kweli, lakini mara tu taifa linapoingia kwenye race ya kuwa super power haliwezi kuepuka masuala ya operesheni za kijeshi kwa sasa. Kama hoja ni hiyo, kwa nini basi kuna mataifa mengi ya Ulaya yanayopata huduma hizo zote muhimu, lakini bado hayahesabiwi kuwa super powers?

China tayari imeingia kwenye race ya kuwa super power, lakini linapofikia suala la mapambano ya kijeshi na matumizi ya nguvu ngumu (hard power), bado linaonekana kuwa paper tiger. Ndiyo maana Marekani inaendelea kufanya inachotaka mbele ya wababe wengine wa dunia bila woga.
 
Ni kweli, lakini mara tu taifa linapoingia kwenye race ya kuwa super power haliwezi kuepuka masuala ya operesheni za kijeshi kwa sasa. Kama hoja ni hiyo, kwa nini basi kuna mataifa mengi ya Ulaya yanayopata huduma hizo zote muhimu, lakini bado hayahesabiwi kuwa super powers?

China tayari imeingia kwenye race ya kuwa super power, lakini linapofikia suala la mapambano ya kijeshi na matumizi ya nguvu ngumu (hard power), bado linaonekana kuwa paper tiger. Ndiyo maana Marekani inaendelea kufanya inachotaka mbele ya wababe wengine wa dunia bila woga.
China hajawahi kusema anataka kuwa Super power.

Marekani ndio kwa wivu wake, alimuweka kama Mshindani wake mkubwa.

Anachofanya China, mostly ni RECIPROCATIVE baada ya kuanzwa.


Hata Makampuni ya China kama HUAWEI, TIKTOK. ZTE na BYD yalipigwa VIKWAZO na Marejani kwasababu Marekani hawezi kushindana.

Leo ulaya yote na Canada wameshamuona Mmarekani ni KIAZI, haaminiki.
 
Mara ya mwisho kwa PRC kupigana vita ilikuwa mwaka 1979, na ulikuwa ni mgogoro mdogo sana kule Vietnam. China imekuwa ikijificha nyuma ya kivuli cha soft power na propaganda, lakini inapokuja kwenye operesheni za kisasa za kijeshi, kwa bahati mbaya ni "Paper Tiger" (mbwa asiye na meno). Licha ya kujimwambafai na gwaride za kijeshi, vitisho kutoka Beijing, na maonesho ya silaha na ndege za kivita, lakini hawa Wachina hatujawaona kwenye operesheni yoyote ya maana ya kivita kwa miaka ya hivi karibuni.

China haina uzoefu wa mapambano ya kisasa kama mataifa mengine kama vile Marekani, NATO (Ulaya), Iran, Israel, na mataifa mengine ya Mashariki ya Kati.

Hata baadhi ya nchi za Afrika kama vile DRC, Rwanda, Misri, Afrika Kusini, Nigeria, na Ethiopia kwa miaka ya hivi karibuni zina uzoefu mkubwa wa mapambano (military combat experience) kuliko China.

Licha ya kujisifia kuwa na mfumo Bora na tata a wa ulinzi wa anga (Air defense system), China alishindwa kumlinda hata Mkuu wa Nchi wa Venezuela alipotoweka. Wachina wameshindwa kabisa na hawana uwezo kurudisha kisiwa chao (Taiwan) ambacho kipo umbali wa kuogelea tu kutoka nchi kavu yao.

Ukweli ni kwamba Hawa wachina Uwezo wao wa kijeshi umejengwa juu ya propaganda, vitisho na maneno matupu ya vyombo vya habari lakini hawana uzoefu(experience) halisi kwenye mapambano ya kisasa ya kijeshi.
Kabla hujaongea utumbo na kujiaibisha uwe unafanya tafiti bro.
-Hiyo China unayoisemea ndio inaisaidia Cambodia indirectly kupigana na Thailand,tena vifaa vyake vimeonesha kuwa effective na efficient.
-Mwaka juzi na mwaka jana mwanzoni India alibondwa mpakani na China hadi akaenda kulalamika umoja wa mataifa kwa vifaa hivyo hivyo unavyosema havina uzoefu.
-Mwaka jana mapigano baina yaa India na Pakistan,Pakistan ilifanikiwa kudungua ndege za rafale kwa vifaa vya China na usaidiizi wa satellite za China.
-South China sea,China ameteka visiwa vidogo vya Ufilipino ambaye ni mshirika wa Marekani. Marekani alibwata sana na kupeleka manowari. Ziliishia kurudi kwa aibu baada ya China kufanya majaribio ya Dong feng missiles kilometa chache na hizo manowari.
-Kesi ya Taiwan inaweza kuamuliwa kidiplomasia zaidi kuliko kinguvu ya jeshi.
Kwani Hong Kong na Macau zilirejeshwaje China!?
Kama ilivyorejeshwa Macau na Hong Kong pasi na mtutu basi Taiwan itarejeshwa vivyo hivyo.
Kama haujui China ndio nchi pekee duniani inayotumia mabavu pasi na silaha na kufanikiwa.
Vita za bunduki za kizamani.
Hiyo Iran unayoitaja vita ya June imetumia satellite ya China kuitwanga Israel. Na mwaka huu amechukua mifumo ya ulinzi ya China ili ilinde anga lake.
-Venezuela hana SECURITY PACT na China. Aliye security pact na China ni North Korea na Russia.

Wakuu kama hamujui msiongee.
 
China hajawahi kusema nataka kuwa Suowr power.

Marekani ndio kwa wivu wake, alimuweka kama Mshindani wake mkubwa.

Kioanachofanya China, mostly ni RECIPROCATE baada ya kuanzwa.


Hata Makampuni ya China kama HUAWEI, Tiktok. ZTE na BYD yalipigwa VIKWAZO na Marejani kwasababu Marekani hawezi kushidnana.

Leo ulaya yote na Canada wameshamuona Mmarekani ni KIAZI, haaminiki.
Marekani anatumia hardpower na China anatumia softpower kwenye race hii ya kuwa super power, Kuna vigezo vingi sana vinatumika kumfanya China kuwa kwenye race hii sio lazima atamke. Inapokuja kwenye hardpower ( military operations) China ni paper tiger tu hang'ati.
 
Marekani anatumia hardpower na China anatumia softpower kwenye race hii ya kuwa super power, Kuna vigezo vingi sana vinatumika kumfanya China kuwa kwenye race hii sio lazima atamke. Inapokuja kwenye hardpower ( military operations) China ni paper tiger tu hang'ati.
Hata Marekani anatumia SOFT POWER ( USAID).

Hard power unayosema ni hizo military bases zake dunia nzima.

Nashangaa ynaposema China ni paper tiger wakati hajawahi kuwa tested.


Unatumia mfano wa Venezuela, utafikiri China waliingia makubaliano ya kumlinda.

Nbona Marekani hapigani Urusi au North Korea kwahiyo naye ni paper tiger??
 
Kabla hujaongea utumbo na kujiaibisha uwe unafanya tafiti bro.
-Hiyo China unayoisemea ndio inaisaidia Cambodia indirectly kupigana na Thailand,tena vifaa vyake vimeonesha kuwa effective na efficient.
-Mwaka juzi na mwaka jana mwanzoni India alibondwa mpakani na China hadi akaenda kulalamika umoja wa mataifa kwa vifaa hivyo hivyo unavyosema havina uzoefu.
-Mwaka jana mapigano baina yaa India na Pakistan,Pakistan ilifanikiwa kudungua ndege za rafale kwa vifaa vya China na usaidiizi wa satellite za China.
-South China sea,China ameteka visiwa vidogo vya Ufilipino ambaye ni mshirika wa Marekani. Marekani alibwata sana na kupeleka manowari. Ziliishia kurudi kwa aibu baada ya China kufanya majaribio ya Dong feng missiles kilometa chache na hizo manowari.
-Kesi ya Taiwan inaweza kuamuliwa kidiplomasia zaidi kuliko kinguvu ya jeshi.
Kwani Hong Kong na Macau zilirejeshwaje China!?
Kama ilivyorejeshwa Macau na Hong Kong pasi na mtutu basi Taiwan itarejeshwa vivyo hivyo.
Kama haujui China ndio nchi pekee duniani inayotumia mabavu pasi na silaha na kufanikiwa.
Vita za bunduki za kizamani.
Hiyo Iran unayoitaja vita ya June imetumia satellite ya China kuitwanga Israel. Na mwaka huu amechukua mifumo ya ulinzi ya China ili ilinde anga lake.
-Venezuela hana SECURITY PACT na China. Aliye security pact na China ni North Korea na Russia.

Wakuu kama hamujui msiongee.
Mkuu, hapa unazungumzia procurement ya vifaa vya kijeshi kwenda katika nchi husika. Lakini hoja inayozungumziwa hapa ni ushiriki wa moja kwa moja katika mapigano ya kijeshi (military combat). Weka hapa historical facts na rekodi, unaweza kutaja ni wapi China imejihusisha moja kwa moja katika mapigano ya anga (aerial military combat) tangu mwaka 1979?

Hoja hapa ni tangu vita vya China na Vietnam mwaka 1979, China haijawahi kushiriki kikamilifu katika mapambano ya moja kwa moja ya kijeshi. Na hii ndiyo sababu, licha ya maendeleo yake ya kiuchumi na kiteknolojia, uwezo wake wa hard power bado unaonekana zaidi kwenye karatasi kuliko katika uhalisia wa uwanja wa vita.
 
china yupo anajenga nchi yake, suala la taiwan ni jambo la muda tu kwa mipango ikikaa sawa anamaliza
Anajenga mpaka lini !? China Hana uwezo wa kufanya military interventions Taiwan, China ni softpower.
 
China haina uzoefu wa mapambano ya kisasa kama mataifa mengine kama vile Marekani, NATO (Ulaya), Iran, Israel, na mataifa mengine ya Mashariki ya Kati.
Story km hizi ni nzuri sana ila mnavyoziandika ndio zinakua changamoto, mcTobby unaweza ukafanya jambo hapa
 
Hata Marekani anatumia SOFT POWER ( USAID).

Hard power unayosema ni hizo military bases zake dunia nzima.

Nashangaa ynaposema China ni paper tiger wakati hajawahi kuwa tested.


Unatumia mfano wa Venezuela, utafikiri China waliingia makubaliano ya kumlinda.

Nbona Marekani hapigani Urusi au Borth Korwa kwahiyo naye ni paper tiger??
Ukweli ni kwamba, China haijawahi kupimwa moja kwa moja vitani, Hivyo ni paper tiger hadi ithibitishwe vinginevyo. Kwa upande wa Marekani, imehusika moja kwa moja katika operesheni nyingi za kijeshi, nyingine zikiwa na mafanikio na nyingine zikiwa hazijafanikiwa, haijalishi imepigana na nani. Taja vita ambavyo China ilishiriki tangu mwaka 1979.
 
Back
Top Bottom