Jaman mie nimekosa tena chuo inabid niapply 3rd round mwsho 30th ila kila nikifungua web ya tcu inakataa nisaidie nifanyaje na nimefaulu vzur tu..naomben mnisaidie jinc ya kuapply
Jaman mie nimekosa tena chuo inabid niapply 3rd round mwsho 30th ila kila nikifungua web ya tcu inakataa nisaidie nifanyaje na nimefaulu vzur tu..naomben mnisaidie jinc ya kuapply
si kweli.....heslb hawatoi majina mpk tcu wawasilishe list ya waliochaguliwa....then majina yawasilishwe wizarani ili ijulikane idadi ya waomba mkopo....kumbuka mwaka huu kuna prior na non prior course hivyo selection ya vyuo ndio funguo ya mkopi
si kweli.....heslb hawatoi majina mpk tcu wawasilishe list ya waliochaguliwa....then majina yawasilishwe wizarani ili ijulikane idadi ya waomba mkopo....kumbuka mwaka huu kuna prior na non prior course hivyo selection ya vyuo ndio funguo ya mkopi