Inaniuma sana

 
Inauma sana, hakuna sababu yoyote inayoweza kukubalika kwa mzazi kumkataa mtoto. Tafuta jukwaa zuri litakalokukutanisha na mtu mwenye kuamini ''Ukipenda Boga penda na Ua lake''.
 
Njoo mlete ili apate furaha na malezi ya baba

Shida yote nini wakati baba tumejaa tele na tuwapenda sana watoto.
 
MANTAHOFU....... Akikua kidogo tu mzazi mwenzio atakutafuta tu......!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…