Naumia sana napoona watoto wamebebwa na baba zao, wanafurahi na baba zao hata kucheza na baba zao.
Masikini mtoto wangu mapenzi haya furaha hii hatakuja kuipata kwani kakataliwa tangu akiwa tumboni.
Mungu nisaidie niweze kumpa furaha mwanangu asijehisi upweke.
Masikini mtoto wangu mapenzi haya furaha hii hatakuja kuipata kwani kakataliwa tangu akiwa tumboni.
Mungu nisaidie niweze kumpa furaha mwanangu asijehisi upweke.