Inaniuma sana

Inaniuma sana

maimatha

Senior Member
Joined
Mar 2, 2013
Posts
129
Reaction score
162
Naumia sana napoona watoto wamebebwa na baba zao, wanafurahi na baba zao hata kucheza na baba zao.

Masikini mtoto wangu mapenzi haya furaha hii hatakuja kuipata kwani kakataliwa tangu akiwa tumboni.

Mungu nisaidie niweze kumpa furaha mwanangu asijehisi upweke.
 
naumia sana napoona watoto wamebebwa na baba zao, wanafurahi na baba zao hata kucheza na baba zao. masikin mtoto wangu mapenzi haya furaha hii hatakuja kuipata kwani kakataliwa tangu akiwa tumboni......eeeeh mungu nisaidie niweze kumpa furaha mwanangu asijehisi upweke.
Pole sana,utapata baba atakayempenda mwanao,kwann alimkataa?
 
Usiwe na wasiwasi utapata baba walezi humu JF wapo wa kumwaga tu.
 
naumia sana napoona watoto wamebebwa na baba zao, wanafurahi na baba zao hata kucheza na baba zao. masikin mtoto wangu mapenzi haya furaha hii hatakuja kuipata kwani kakataliwa tangu akiwa tumboni......eeeeh mungu nisaidie niweze kumpa furaha mwanangu asijehisi upweke.

km utajisikia amani lkn waweza tudokeza; unahisi kwanini ameamua kufanya hivyo? Pamoja na yote polesana mshukuru Mungu kwa yote, wewe kakupa mtoto kuna wengine uwezo wa kuwa na mtoto hawana.
 
Amina usijali ataipata tu hiyo furaha sio wote wenye baba na wakapata furaha
 
Naumia sana napoona watoto wamebebwa na baba zao, wanafurahi na baba zao hata kucheza na baba zao.

Masikini mtoto wangu mapenzi haya furaha hii hatakuja kuipata kwani kakataliwa tangu akiwa tumboni.

Mungu nisaidie niweze kumpa furaha mwanangu asijehisi upweke.

kwani una umri gani mkuu? sahau kabisa lea mwanao, achana na mambo ya kumuwaza baba aliyekataa mwanae, amini nakwambia mko salama jinsi mlivyo, huyo angemkubali mmtoto mngekuwa kwenye mateso tu, achana naye, HE IS NOT WORTH IT!
 
pole sana! bado hujamalizia hii story!
 
Pole sana, mjali mtoto kwa jinsi yeyote ile,niamini utapata mtu sahihi.
 
Shukuru mungu hata wwe unaweza kumpa mwanao furaha kwani wapo ambao hawana baba wala mama na wanatamani wapate furaha kama unayotaka mwanao aipate, mshukuru mungu kwa ilo!!
 
Pole sana,Mungu ndiye baba yetu mwenye pendo lisilo na unafiki. Kuwa mtu wa ibada utakuwa na furaha maishani wewe pamoja na mwanao,furaha ambayo mwanadamu hawezi itoa.
 
kwani una umri gani mkuu? sahau kabisa lea mwanao, achana na mambo ya kumuwaza baba aliyekataa mwanae, amini nakwambia mko salama jinsi mlivyo, huyo angemkubali mmtoto mngekuwa kwenye mateso tu, achana naye, HE IS NOT WORTH IT!

Ole wako uje ukatae na huyu wako tumboni utanijua
 
Back
Top Bottom