Granter
JF-Expert Member
- Dec 11, 2016
- 483
- 361
Habari zenu, ladies and gentlemen,
Hali ya baadhi ya wanaume kupenda kupiga chabo, au kusikiliza watu wakigegedana katika ma guest na nyumba za kawaida inazidi kua kubwa
Jana maeneo flani hivi, kuna jamaa alienda kukaangisha chips kwenye banda moja hivi, mkaanga chips baada ya kumaliza kazi, Jamaa anataka kulipa, chakushangaza mkaanga chips akasema "WEWE NENDA TU, JAMAA NAJUA UNAENDA KULALA NA HUYU MSICHANA.
Nielekeze Guest uache dirisha wazi kidogo usizime taa. Biashara ikawa imeishia hapo, jamaa akafanya kama alivyo ombwa. Lakini pia, matukio ya watu, kuchomwa spoke za macho kwenye mijengo ya watu yamezidi.
Hivi mtu anaachaje mke ndani kwenda kugonga chabo!
Hali ya baadhi ya wanaume kupenda kupiga chabo, au kusikiliza watu wakigegedana katika ma guest na nyumba za kawaida inazidi kua kubwa
Jana maeneo flani hivi, kuna jamaa alienda kukaangisha chips kwenye banda moja hivi, mkaanga chips baada ya kumaliza kazi, Jamaa anataka kulipa, chakushangaza mkaanga chips akasema "WEWE NENDA TU, JAMAA NAJUA UNAENDA KULALA NA HUYU MSICHANA.
Nielekeze Guest uache dirisha wazi kidogo usizime taa. Biashara ikawa imeishia hapo, jamaa akafanya kama alivyo ombwa. Lakini pia, matukio ya watu, kuchomwa spoke za macho kwenye mijengo ya watu yamezidi.
Hivi mtu anaachaje mke ndani kwenda kugonga chabo!