INAKUWAJE MABOSI KUPEWA ZAWADI?

INAKUWAJE MABOSI KUPEWA ZAWADI?

Ruyama

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2019
Posts
367
Reaction score
563
Leo siku ya wafanyakazi nashangaa mabosi kupewa vitita vya mamilioni ilihali wafanyakazi wachini wakiambulia pakavu.
 
Na mimi nimeshangaa.Mabosi ni waajiri yaani employers huwa hawaruhusiwi kuwa na kadi za vyama vya wafanyakazi sasa inakuwaje wapewe zawadi na vyama vyao wakati sio wanachama?
Ni kweli kabisa
 
Na mimi nimeshangaa.Mabosi ni waajiri yaani employers huwa hawaruhusiwi kuwa na kadi za vyama vya wafanyakazi sasa inakuwaje wapewe zawadi na vyama vyao wakati sio wanachama?
Tatizo hapo ni viongozi wa vyama kurubuniwa na kukubali na hila za baadhi ya viongozi wao ili wapate upendeleo kazini. Mambo kama haya yalifanywa sana na Richard Masika wakati fluni apokuwa Chuo cha Ufundi Arusha. Alikuwa anarubuni viongozi wa vyama vya wafanyakazi na kupata zawadi za ufanyakazi bora pamoja na cheti.
 
Na wewe kuwa bosi..kama unadhani ni kazi rahisi
 
Back
Top Bottom