Inakuwaje Kiongozi aliyechaguliwa na Wananchi akaondolewa madarakani kwa fitina na Kiongozi wa kuteuliwa?

Elice Elly

JF-Expert Member
Dec 9, 2018
1,268
1,593
Wadau napata shida kidogo kuelewa, nimejaribu kufuatilia sakata mameya kuondolewa madarakani kwa sehemu kubwa unaona ni wakuu wa mikoa ambao nafasi zao ni za kuteuliwa ndiyo wamekuwa watengenezaji wazuri wa figisu zinazo watoa mameya madarakani.

Wateule hawa kama hawakupendi wanatumia madaraka yao kuhakikisha lazima utoke madarakani, huku wakijua kabisa kuwa Wananchi bado wanawapenda viongozi wao na wana Imani nao.

Lakini jambo jingine ni kwamba wateule hawa wanakuwa ni wageni katika mikoa husika wakati huo viongozi wa kuchaguliwa ni wazawa wa mkoa husika na wananchi waliwachagua sababu wanawajua vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa ni watendaji wa Serikali, hivyo nao wanaguswa na sheria kama wengine. Ikitokea kufanyiwa figisu na wakaondolewa kwa figisu hizo, tatizo ni mwenye madaraka kusikiliza figisu bila kufanya uchunguzi. Hata hivyo sitaki kuamini kwamba huwa hakuna uchunguzi unaofanyika. Huenda kila mmoja anajiona ni mfalme katika mamlaka yake na hapaswi kuulizwa.
 
Katika Mambo ambayo Afrika tuna fanikiwa kwa kiasi kikubwa ni Kiwania/kung'ang'ania/kutafuta Madaraka.Hatuwazi sababu iliyo pelekea kuwa na hayo Madaraka ,Ulafi kujipendelea wenyewe ndio kipaumbele kiasi tume wasahau hata wale walio tuweka Madarakani.Madaraka ni Matamu sana na yana levya ,ila nnaikumbuka kauli ya Baba wa Taifa hili aliwahi kusema "Madaraka ni Mzigo"
 
Katiba yetu siyo nzuri mkuu !.
Na ndiyo maana watu wanalilia katiba mpya ya wananchi. Katiba hii huwafanya wateule kuwa juu ya viongozi wa kuchaguliwa. Angalia visa vya ma RC , DC kuwatumia ma OCD na ma RPC kuwaweka ndani viongozi wa kuchaguliwa na wananchi . Na hasa wakiwa ni wa vyama tofauti ndiyo hakuna heshima kabisa .

Siku WaTz wakijuwa majukumu yao kwa viongozi wao wa kuteuliwa na wa kuchaguliwa , basi wataona umuhimu wa katiba inayotoa mipaka ya madaraka kwa viongozi hawa. Lakini kwa sasa viongozi wa wananchi hawana nguvu kwa wateule wa bw. mkubwa

Odhis *
 
Katika uwanja wa vita na siasa kila kitu ni sawa
Unapofanya vita vya kisiasa muda wa kufanya maendeleo, hayo mafanikio utayaonaJe. Kama ndani ya miaka mitano mnakalia kufanyiana figisu hayo maendeleo yatafanyika saa ngapi ?!.

MuAfrika bwana !!

Odhis *
 
Katiba yetu inashida kubwa, wakuu wa mikoa na wilaya ni postion zisizo na real Job descriptions, scope of work yao haionekani waziwazi na haipimiki na ndiyo maana wanaishia kudandia kazi za za wenzao - mara wadandie za siasa, mara za wakurugenzi wa halmashauri hadi kuishia kugombana, mara wagombane na wabunge na madiwani, mara wageuke wao ni mahakama kuwasweka watu ndani bila sababu za msingi - yaani ni vurugu tupu

Katiba yetu ina shida kubwa, kama kweli tunataka mfumo ufanye kazi basi Mwenyekiti wa Halmashauri ambaye ni mmoja wa madiwani ndiye awe kiongozi wa jimbo husika....na ndiye atakuwa msimamizi wa shughuli zote na atariport kwa waziri wa TAMISEMI - hizi positions za Mkuu wa Mkoa / Wilaya ni matumizi mabovu ya fedha za umma....redundant!
 
Katiba yetu inashida kubwa, wakuu wa mikoa na wilaya ni postion zisizo na real Job descriptions, scope of work yao haionekani waziwazi na haipimiki na ndiyo maana wanaishia kudandia kazi za za wenzao - mara wadandie za siasa, mara za wakurugenzi wa halmashauri hadi kuishia kugombana, mara wagombane na wabunge na madiwani, mara wageuke wao ni mahakama kuwasweka watu ndani bila sababu za msingi - yaani ni vurugu tupu

Katiba yetu ina shida kubwa, kama kweli tunataka mfumo ufanye kazi basi Mwenyekiti wa Halmashauri ambaye ni mmoja wa madiwani ndiye awe kiongozi wa jimbo husika....na ndiye atakuwa msimamizi wa shughuli zote na atariport kwa waziri wa TAMISEMI - hizi positions ni matumizi mabovu ya fedha za umma....redundant!
Katiba yetu bado ina elements za kikoloni. Zile zilizowafanya wawakilishi wa gavana kuwa na nguvu dhidi ya uongozi wa wananchi .

Odhis *
 
Wadau napata shida kidogo kuelewa, nimejaribu kufuatilia sakata mameya kuondolewa madarakani kwa sehemu kubwa unaona ni wakuu wa mikoa ambao nafasi zao ni za kuteuliwa ndiyo wamekuwa watengenezaji wazuri wa figisu zinazo watoa mameya madarakani.

Wateule hawa kama hawakupendi wanatumia madaraka yao kuhakikisha lazima utoke madarakani, huku wakijua kabisa kuwa Wananchi bado wanawapenda viongozi wao na wana Imani nao.

Lakini jambo jingine ni kwamba wateule hawa wanakuwa ni wageni katika mikoa husika wakati huo viongozi wa kuchaguliwa ni wazawa wa mkoa husika na wananchi waliwachagua sababu wanawajua vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mameya wanaondolewa ni wale tu wanaozuia upigaji yaani wanaolinda kodi zetu zisipigwe na wapiga dili wa awamu hii.
 
Wadau napata shida kidogo kuelewa, nimejaribu kufuatilia sakata mameya kuondolewa madarakani kwa sehemu kubwa unaona ni wakuu wa mikoa ambao nafasi zao ni za kuteuliwa ndiyo wamekuwa watengenezaji wazuri wa figisu zinazo watoa mameya madarakani.

Wateule hawa kama hawakupendi wanatumia madaraka yao kuhakikisha lazima utoke madarakani, huku wakijua kabisa kuwa Wananchi bado wanawapenda viongozi wao na wana Imani nao.

Lakini jambo jingine ni kwamba wateule hawa wanakuwa ni wageni katika mikoa husika wakati huo viongozi wa kuchaguliwa ni wazawa wa mkoa husika na wananchi waliwachagua sababu wanawajua vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mameya wanaondolewa ni wale tu wanaozuia upigaji yaani wanaolinda kodi zetu zisipigwe na wapiga dili wa awamu hii.
 
Wadau napata shida kidogo kuelewa, nimejaribu kufuatilia sakata mameya kuondolewa madarakani kwa sehemu kubwa unaona ni wakuu wa mikoa ambao nafasi zao ni za kuteuliwa ndiyo wamekuwa watengenezaji wazuri wa figisu zinazo watoa mameya madarakani.

Wateule hawa kama hawakupendi wanatumia madaraka yao kuhakikisha lazima utoke madarakani, huku wakijua kabisa kuwa Wananchi bado wanawapenda viongozi wao na wana Imani nao.

Lakini jambo jingine ni kwamba wateule hawa wanakuwa ni wageni katika mikoa husika wakati huo viongozi wa kuchaguliwa ni wazawa wa mkoa husika na wananchi waliwachagua sababu wanawajua vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mameya wanaondolewa ni wale tu wanaozuia upigaji yaani wanaolinda kodi zetu zisipigwe na wapiga dili wa awamu hii.
 
Back
Top Bottom