Sisi ni CRDB?Habari wanajamvi nina swali kuhusiana na kupata kadi ya Benki.Nimefungua account ya CRDB juzi Kati ila nimebakiza siku SITA Ili nipate Kadi mkoa huu wa Mtwara.Nimepata dharura natakiwa niondoke kesho je naweza pata kadi nikiwa mkoa mwingine??