Mbona hujasema maumbile, IQ na dini ya huyo unayetaka akuzalie? huoni hivyo vyote ni muhimu ili kupata your dreamy baby. It is a great arrangement kwa mdada ambaye hana mpango wa kuolewa; ila huoni kama unamkosea mkeo hata kama hana uwezo wa kuzaa (nina assume hawezi kuzaa).
Pia nafikiri kwa aliyekuwa interested inabidi muandikishiane terms zote ili baadaye msigeukane, mara ooh nataka mtoto wangu etc.
yeye mwenyewe ana uwezo wa kuzaa? Maana siku hizi kwenye ugumba ni ngoma droo wanawake kwa waume